Niliwahi ambiwa Zantel wanaweza kuziflash ila zitakuwa na uwezo wa kuingia online tuu huwezi piga wala kupokea call. Hivyo save yourself ur time kutafuta fundi. Simu za Sprint/Verizon kama hazina redio mbili nishai hazifai hata kidogo. Nafahamu kwa hakika huwezi kuitumia kwa Voda, Tigo, Airtel....