tumeshajua una own hiyo device haya basi ,umeshindwaje ku google/////
hivi vitu mara nyindi kabla yakununua inabidi uwe mdadisi sana wenzetu wameendeleasana wenzetu net ni kila mahali hata chooni unapata wireless!! bloototh etc ukizinunua hizi angalia na wapi unaenda itumia wengi tu wamenunua ipad sasa zinakaa ndani maana hazina sehemu yakuweka chip au line card!!sasa angalia vizuri google kama unaweza tumia kwa matumizi unayotaka inawezekana kabisa haina speaker lazima utumie blutooth so jaribu BTNdg yangu mimi sio wa hivyo.
Kama unaweza kunisaidia,naomba ufanye hivyo kwani nimejaribu ku google bila mafanikio.
Software ninazopata zinataka kutumia wireless na au bluetooth kupiga simu lakini pia VoIp iliweza kupiga simu bila kuwa na sauti(mpigaji anasikia simu ikiita, upande wa pili vivyo hivyo mpokeaji lakini wakati wa kuongea,hakuna anayemsikia mwenzie pamoja kwamba pesa inakatwa).