Mr Kicheko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 789
- 213
hiyo software inahitaji net toka hotspot au modem nyingine isiyo ya huawei.yangu hai detect
kama haikubali basi modem yako itakuwa dead completelly.
yangu ukichomeka inamweka mweka kama kawaida,haisomi port wala haikubali kuingia project mode.
nikitumia hiyo hisilicon inadetect port pia dashiboard ya huawei nafunguka na modem inasoma network bars ila huwezi kuconnect