How to Unlock Airtel Huawei E303h-1 Hi link

How to Unlock Airtel Huawei E303h-1 Hi link

ndio hazisomi driver ndio muhimu modem yangu ya hilink nilichange iwe ya kawaida yaan itumie dashboard ikawa haisomi ila nlivyoweka dashboard ikasoma so lazima uwe na driver za hilink na za huawei za kawaida then uweke firmware yako
 
Mkuu emu eleza hali ya modem ilivokua na umefanikiwa vipi?
Je ni huawei Hi link ipi? ya Vodacom(E303s-1) au Airtel(Huawei E303h-1)?

Nimefanikiwa kwa Huawei E303h-1...nimefuata maelekezo ya jamaa nikaload firmware ghafla nkashangaa window imaanza kuinstall driver yenyewe na kuchek ktk drivers mgmt nakuta modem ipo poa...nitajaribu kuiunlock upya then ntatoa feedback
 
Nimefanikiwa kwa Huawei E303h-1...nimefuata maelekezo ya jamaa nikaload firmware ghafla nkashangaa window imaanza kuinstall driver yenyewe na kuchek ktk drivers mgmt nakuta modem ipo poa...nitajaribu kuiunlock upya then ntatoa feedback

hii ni ya tigo au hii ya airtel?
ume load je firmware wakati ilikua haisomi port?
 
leo nimeweza ku siwtich prosject mode from Web UI to serial port ila nilipoi flash kwa kutumia ile Firmware ya Tigo Huawei e303h-1 ndo imekua safari yake ya kuelekea mbinguni haisomi tena port wala haisomi tena kwenye Web
so to say nime brick tayari

Mkuu naomba unielekeze jinsi ya kuswitc project mode from web Ui modem ya Air tel hi link
 
jaribu hii download driver hizi hapa http://dl.dropbsox.com/s/3elrp71t6ahqywc/Huawei-HiLink-Drivers.zip na firmware yake hii http://dl.dropbox.com/s/bm2v29mjoe75dda/E303HiLink11.010.06.02.910.exe na huawei code generator http://dl.dropbox.com/sh/62diqnnlhmohygt/HwJUFNnQ8H/Huawei e372/Huawei Unloker.zip extract then install driver kisha connect modem yako then install hiyo firmware kisha ukimaliza jaribu

Mkuu firmware niliyoipakua inadai start password Naomi sijui pa kuipata maana nimegoogle sijapata kitu so msaada tafadhali.
 
Mkuu naomba unielekeze jinsi ya kuswitc project mode from web Ui modem ya Air tel hi link

check tut ya gkiwango ya Huawei e303 replace ile adress ya Voda weka ya airtel ita switch ila jihesabu kuimaliza juu kwa juu kama mm yalonikuta
 
Dah nimefanikiwa kuifufua hii modem ya airtel ya hilink mana ilikufa kabisa sa hv inapiga fresh na ni unlocked
 
Niko nazo mbili Huawei E303s-1 na Huawei 303H-1 zote hazisomi port
Wakuu nimebrick modem yangu e303h-1 (ipo half dead) baada ya kuweka firmware isiyo yake, sasa haidetect com port ila nikitumia Hisilicon firmware writer com port zinaoneka fresh tatizo nashindwa kuwrite kwa kukosa credit.
Kama kuna namna ya kubypass au software mbadala naomba msaada wenu.
CC: Mwl.RCT Njunwa Wamavoko Chief-Mkwawa gkiwango CalvinPower
 
Wakuu nimebrick modem yangu e303h-1 (ipo half dead) baada ya kuweka firmware isiyo yake, sasa haidetect com port ila nikitumia Hisilicon firmware writer com port zinaoneka fresh tatizo nashindwa kuwrite kwa kukosa credit.
Kama kuna namna ya kubypass au software mbadala naomba msaada wenu.
CC: Mwl.RCT Njunwa Wamavoko Chief-Mkwawa gkiwango CalvinPower
mimi pia ninayo mkuu kama hutajali eka link ya hio software kama sio bei ghali naweza nunua hizo credit na kutest
 
Kuna thread umu 2likua 2nazungumzia na njunwa nafikiri chief unakimbuka, ckuandika feedback2, n kwamba izo modem unlock attempt zimewekwa zero makusudi, hakuna software kwa kipindi icho nliojaribu ikaweza ku reset, ila ka imedead itabid uiflash na firmware fulan ya india kisha install dashboard manually kwenye window 7, window 10 itaiconnect bila dashboard.
 
Kuna thread umu 2likua 2nazungumzia na njunwa nafikiri chief unakimbuka, ckuandika feedback2, n kwamba izo modem unlock attempt zimewekwa zero makusudi, hakuna software kwa kipindi icho nliojaribu ikaweza ku reset, ila ka imedead itabid uiflash na firmware fulan ya india kisha install dashboard manually kwenye window 7, window 10 itaiconnect bila dashboard.
mkuu hizi zetu ziliflashiwa na firmware tofauti na modem zikabrick,
 
Issue ni Kwamba hapo sisi tune flash Firmware ya Stick wakati modem ni Hi link.

Kuna mtu alikua nayo nae akai Brick anasema akiweka kwenye zile Router inasoma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom