How to study physics

How to study physics

benasius

Member
Joined
Jan 11, 2018
Posts
18
Reaction score
7
My learned friends I come before you to at least get some tips on how to handle Advanced Level physics. I have committed a lot of my time to study it but I find myself to be empty when answering questions. Please help me with the least you have.
 
My learned friends I come before you to at least get some tips on how to handle Advanced Level physics. I have committed a lot of my time to study it but I find myself to be empty when answering questions. Please help me with the least you have.
Learning physics require time and cost sacrifice. Where ar u and which form?
 
nilipokuwa advance nilikutana na washikaji wanasoma PCB, na walitoka seminari X wakiwa na dv I ya 9 kila mtu. amini usiamini waliondoka na four ya 18.


physics ni ngumu kama una akili za kukiki.
 
My learned friends I come before you to at least get some tips on how to handle Advanced Level physics. I have committed a lot of my time to study it but I find myself to be empty when answering questions. Please help me with the least you have.
if huna msingi mzuri ttzo la 1 . unasoma tuition ?wapi ?ttzo la pili . unasoma vitabu vipi?ttzo la 3
 
"Kama we ndo wa kwanza kusoma physics kwenu achana nayo tu fanya mambo mengine " huo ulikua utani wa ticha wetu wa phys advance alikua anapenda sana hiyo kauli, kiukweli physics haipendi ujinga.
Soma uielewe na uikariri kiasi fulani NB:Usikariri formulas jitahidi ujue kuziderive zote ila uwe unajua unapoelekea(na hapo ndo ile part yetu ya kukariri sasa), maana kuna maswali data za formula ya mwisho unakuta hamna linaishia huko juu kwa juu , pia usolve maswali mengi sana maana yapo ambayo kama hujawahi kuona ya aina yake huchomoi, kingine jitrain kupata speed+accuracy
Komaa sana ndugu yangu physics iko pale kupunguza idadi ya watu wa kupewa boom.
 
My learned friends I come before you to at least get some tips on how to handle Advanced Level physics. I have committed a lot of my time to study it but I find myself to be empty when answering questions. Please help me with the least you have.


Niko tayari kukusaidia lkn inabidi ufunguke zaidi ni msaada wa aina gani unahitaji?
 
Am mechanical engineer fouth year.Ninachotaka kukwambia n kwamba physics ina formula katika kusoma
1.Unatakiwa kwanza ujue ubongo wako una GB ngapi i.e una uwezo mkubwa wa kukumbuka au n wakuelewa n kusahau haraka.
2.Unatakiwa upate mwalimu sahihi wa tution au kukufundisha.Apa ukichemsha ndio umeharibu ubongo ukimezeshwa tango ilo ilo ndio utajibu.
3.Material ya kusoma yawe yana concept zote n zilizoelezewa kw lugha fupi n rahisi ili usichoke sana.
4.Unatakiwa ukisha soma tution chukua notes au material husika usome.baada ya apo unashika vitabu kuanzia nelcon y zaman mpk ya ss,University physics UP,Rodger Muncaster,Chand yan unalaza maswali y vitabu vyote baada ya apo unaenda kweny review zote kuanzia y miaka ilee elimu ilipoanzishwa Tanzania,baada y apo ss utakuwa nondo ss unachukua mlima wa past paper kila siku unafanya maswali kadhaa ya topic uliyoishughulikia.
5 .Ukifikia apo unachukua topic ingine unaifanyia hivyo hivyo mpk mwisho w siku unazikata zote unakuwa n uwezo w kusolve pepa nzima so unaenda mwendo w discussion kw past paper n fitness km series.
Note.pia masomo mengine unaweza fanya hivyo hivyo incase km swali litakushinda tafuta mtu alifanye kuna vipanga usikubali lilale.nadhani ukifanya hivyo utafanikiwa n utakuwa vzur sana
 
kusoma na kuelew physics kiukwel haiitaj tips wala nn yaan kama ww una akil tu utafaul lkn pia kama una akili alafu hausolve kwa physics ya advance utaumbuka ila sasa kama hauna akil nakushaul usilazimishe hautaiekewa physics hata usomaje (N.B hapa naposema kam una akil namaanisha yaan uwezo wako wa kupambanua mambo ya kielim uwe mkubwa)
 
Wakuu nawaombeni msaada maswali mawili yajuu apo
1526028948029.jpg
 
Mkuu ungesema upo kidato cha ngapi ili Watu waelewe namna nzuri ya kukusaidia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom