How to make the first birthday special

Englishlady

JF-Expert Member
Apr 11, 2013
2,734
3,641
Waungwana habari zenu!!!


Naomba msaada wa kujuzwa jinsi ya kuifanya birthday ya kwanza kabisa ya mwanangu kuwa so special

Si mnajua tena it is once in a life time...ni furaha kama mzazi kuona mwanao anafikisha mwaka mmoja huku akiwa mwenye afya na furaha tele!!!

Nafahamu yeye hailewi na hatakumbuka chochote but I want to make it special and memorable.

Nataka iwe simple tu special kwaajili ya watoto wa majirani ndugu jamaa na marafiki.

Mnisaidie nini nifanye iwe special...kwenye upande wa michezo ya watoto..nataka wafurahi siku hiyo, vyakula vya vya watoto and fun things.

Mnisaidie wanajukwaa humu kuna kila la kujifunza, huwezi toka bure.

Asanteni sana!!!!
 
Waungwana habari zenu!!!


Naomba msaada wa kujuzwa jinsi ya kuifanya birthday ya kwanza kabisa ya mwanangu kuwa so special

Si mnajua tena it is once in a life time...ni furaha kama mzazi kuona mwanao anafikisha mwaka mmoja huku akiwa mwenye afya na furaha tele!!!

Nafahamu yeye hailewi na hatakumbuka chochote but I want to make it special and memorable.

Nataka iwe simple tu special kwaajili ya watoto wa majirani ndugu jamaa na marafiki.

Mnisaidie nini nifanye iwe special...kwenye upande wa michezo ya watoto..nataka wafurahi siku hiyo, vyakula vya vya watoto and fun things.

Mnisaidie wanajukwaa humu kuna kila la kujifunza, huwezi toka bure.

Asanteni sana!!!!
Nasubir kwa hamu majibu ya wadau mi mwanangu Julai ndo anatimiza mwaka
 
He/she is turning one. . No matter how big it is it won't be memorable to your child, you will just be show offing

Make it simple mkuu, family tu inatosha and some pictures for memory baaasi
 
He/she is turning one. . No matter how big it is it won't be memorable to your child, you will just be show offing

Make it simple mkuu, family tu inatosha and some pictures for memory baaasi
I know that, she wont remember, na nimesema I want simple but special

sio kukata keki tu na kuka basi, I want more
 
Tafuteni kituo cha watoto yatima.... wale wenye shida kweli namisaada ya manati

Wapelekeeni vyakula...(vibichi)

Plus catering na vinywaji mkakate keki huko na kumuimbia

mie naona bora apeleke msaada wa chakula na catering tu.
ishu ya kumfanyia birthday mwanae huko inaweza kuwakumbusha mayatima juu ya wazazi wao, wana imagine kama wazazi wao wangekua hai na wao wangekua wanafanyiwa birthday etc. mwisho watabaki na majonzi badala ya furaha.

ni bora atoe msaada lakini birthday aifanye kwake.
 
Naunga mkono hoja
mie naona bora apele msaada wa chakula na catering tu.
ishu ya kumfanyia birthday mwanae huko inaweza kuwakumbusha mayatima juu ya wazazi wao, wana imagine kama wazazi wao wangekua hai na wao wangekua wanafanyiwa birthday etc. mwisho watabaki na majonzi badala ya furaha.

ni bora atoe msaada lakini birthday aifanye kwake.
 
mie naona bora apeleke msaada wa chakula na catering tu.
ishu ya kumfanyia birthday mwanae huko inaweza kuwakumbusha mayatima juu ya wazazi wao, wana imagine kama wazazi wao wangekua hai na wao wangekua wanafanyiwa birthday etc. mwisho watabaki na majonzi badala ya furaha.

ni bora atoe msaada lakini birthday aifanye kwake.
Catering kwa maana ya kula nao chakula........ na vibywaji...na kushare cake

Si lazina iwakumbushe machungu but wanaweza enjoy na kuona wamethaminiwa na kufurahia siku pamoja
 
I know that, she wont remember, na nimesema I want simple but special

sio kukata keki tu na kuka basi, I want more
Every kid's birthday is special dear. . To us parents sometimes we are too busy parenting we don't notice how they grow, but birthdays kinda hit us. . But we there everyday witnessing this amaizing little miracle evolve

You can go with themes pia to add up. . It depends on whether its a girl or boy
 
Every kid's birthday is special dear. . To us parents sometimes we are too busy parenting we don't notice how they grow, but birthdays kinda hit us. . But we there everyday witnessing this amaizing little miracle evolve

You can go with themes pia to add up. . It depends on whether its a girl or boy
She is a baby girl!!
 
Tafuteni kituo cha watoto yatima.... wale wenye shida kweli namisaada ya manati

Wapelekeeni vyakula...(vibichi)

Plus catering na vinywaji mkakate keki huko na kumuimbia
Asante sana shosti kwa ushauri mzuri!!

By yhe way habari ya siku tele?? chitchat kwema huko!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom