How to flash modem

How to flash modem

Joined
Sep 26, 2012
Posts
26
Reaction score
1
Please jaman naombei msaada wenu nina modem ya airtel nataka kuiflash itumie line zote je ni download program gan itakayoweza kunisaidia tatizo langu
 
Please jaman naombei msaada wenu nina modem ya airtel nataka kuiflash itumie line zote je ni download program gan itakayoweza kunisaidia tatizo langu


.....Wabongo mbona mnapenda sana kuchakachua? Unajua kwamba ni Ni kosa kubwa sana kufanya hivyo.... kila kampun ina brand yake ... mambo haya bora uyaseme chinichini......usijionyeshe kwamba wewe ni bingwa wa kuchakachua
 
una maana gani ktk hoja iliyoletwa na mdau?

Modem ya voda ni kwa ajili ya voda hali kadhalika airtel, tigo na zantel... kama utaamua kununua modem ya voda kisha ukaifanyia un'lock ili utumie line zote modem zingine zitanunuliwa na nani
 
na ishu ya ku unlock mpaka sasa sio wizi.

Marekani mwisho wa mwezi january ndo imekua ni kosa la jinai ku unlock simu/modem/tablet/gadgets zote ambazo ni za mtandao fulani. Na bado kuna watu wanapinga maybe wanaweza futa.


Mpaka hii sheria ije tanzania maybe 2015 huko lakini kwa sasa sio wizi. Na kama unafkiri ni wizi tupe kifungu cha sheria kinachokataza.

Modem unaieka na line nyengine inakwambia yenyewe enter unlock code. Kama walikua hawataki hayo wasingeziweka vile wangefanya kama zantel (na makampun mengine ya cdma)
 
Back
Top Bottom