How to differentiate Galaxy Note 3 clone and original???

How to differentiate Galaxy Note 3 clone and original???

Ayusema

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2011
Posts
549
Reaction score
189
Hi wan JF...

Ni vitu gani muhimu vya kucheck ili kutofautisha Galaxy note 3 and clone...?

Msaada wenu wadau.....

Nawasilisha..
 
how IMEI No...?@the boss

google imei no ya galaxy note three watakupa

halafu google how to get imei no galaxy note 3 watakuelekeza

so ukinunua simu unatazama hiyo
ukiona tofauti ujue kimeo
 
Thank yu alot The Boss m working on it.....
 
Last edited by a moderator:
Hi wan JF...

Ni vitu gani muhimu vya kucheck ili kutofautisha Galaxy note 3 and clone...?

Msaada wenu wadau.....

Nawasilisha..
Je umewahi tumia simu ya samsung smartphone?
Kama umewahi tumia au unayo hapa siku zote simu ya samsung original ina features mbili tu zitakazo kusaidia kuijua bila kuweka program yoyote

1.Samsung Account
Simu smartphone zote za samsung huwa na feature inaitwa "SIM CHANGE ALERT" na hii ukutwa katika settings>>>>security
Ukiwa ndani ya security utaona hicho kitu na hizo "Alerts ukuomba account ya SAMSUNG simu ya clone haina hiyo feature hata siku moja

2.*#0*#
Hii code ukusaidia kufanya testing ya functionalities za simu na simu kubwa zote za samsung menu yake uonekana kama picha nilivyoweka yaani kusiwepo na utofauti....na punde ukigusa "sensor" na kuweka kiganja juu ya screen ya simu uanza ku vibrate na kugeuka rangi kuwa kijani

Tafuta simu ya samsung ufanye hizo test mbili ambazo ni rahisi kuzifanya hata ukiwa dukani bila kuweka APK yoyote katika simu

Njia ya mwisho ni kuweka application ya CPU-Z katika simu ambayo itakusomea specifications za simu na wewe utafananisha na zile za GSM ARENA
 

Attachments

  • 1402742250569.jpg
    1402742250569.jpg
    36.8 KB · Views: 132
  • 1402742264698.jpg
    1402742264698.jpg
    24.5 KB · Views: 122
  • 1402742277564.jpg
    1402742277564.jpg
    27.4 KB · Views: 127
Back
Top Bottom