PRECIOUSDOE
Senior Member
- Feb 3, 2009
- 114
- 12
basi umejua mama chukua hatuaunajua ni mwiko kuwa huja tahiri,infact nika wambia watu wengine anaweza kutahiriwa kilazima.Sikuwahi kuona mtu asiye tahiri.Na yeye amekuwa akificha ,hataki kuguswa kumbe ameficha makuu.Nilipojua sijaweza hata kuonana naye.Im avoiding him mpaka nione what to do.Ni risky sana hata na protection because of hygiene issues.Kwanza ni mwiko mkubwa - hata inatisha - nivile tuu sikujua.
basi umejua mama chukua hatua
mshauri km ashauriki we sepa dahh utakaa nae vp uyo kaficha nyoka kwenye boksa?
maradhi+ata mautundu mengine pia utashndwa kuyafanya manake dah....ile kitu one twoo one twoo mic chek apo nehi manake mazngra ya mtutu hayapo frendly..
ivi risasi na makali yake inaweza ikawa sawa na waliomenywa?ahh ebu sepa bib weeweeeeee mwache na linyama lake km vp alifanye kamba yakuanikia nguo
bakteria apo garantee na mijianaume mingne ilivyo mivivvu kubadirisha boksa weeeee hatari utakuta kavaa boksa siku 4 au 5+g.o.v.i=?
cheka mwaya ukilia utaniliza na mimi..!!!!!!!!!!sijui nicheke ama nilie.Point kali sana
basi umejua mama chukua hatua
mshauri km ashauriki we sepa dahh utakaa nae vp uyo kaficha nyoka kwenye boksa?
maradhi+ata mautundu mengine pia utashndwa kuyafanya manake dah....ile kitu one twoo one twoo mic chek apo nehi manake mazngra ya mtutu hayapo frendly..
ivi risasi na makali yake inaweza ikawa sawa na waliomenywa?ahh ebu sepa bib weeweeeeee mwache na linyama lake km vp alifanye kamba yakuanikia nguo
bakteria apo garantee na mijianaume mingne ilivyo mivivvu kubadirisha boksa weeeee hatari utakuta kavaa boksa siku 4 au 5+g.o.v.i=?
tokazako !kumbe unaipigaga sana hii one twoo one twoo mic cheki eeeeeeeeh!!!!
I wonder unawezaje approach your lover who is over 25 apate kutahiriwa?Unaanzia wapi hadi aingie box ya kwenda hospitali to face the knife? Wakuu please advice.
hakuna haja bwana mkono wa sweta nao unarahaa yake loh isikupe presha u just test it.
I wonder unawezaje approach your lover who is over 25 apate kutahiriwa?Unaanzia wapi hadi aingie box ya kwenda hospitali to face the knife? Wakuu please advice.
Kama hadi umri huo ana govinda sidhani kama ataenda kuchojoa suruali yake mbele ya manesi na tabibu ili akatwe.
Halafu unajua zamani wakati niko dogo nilidhaniaga mtu ukiwa na govi basi mademu utakuwa hupati. Baadaye ktk mazungumzo na mademu mbalimbali nikaja kugundua kuwa kuna mademu wengi tu ambao hawajui tofauti kati ya dhakari iliyokatwa na ambayo haijakatwa, hususan wale ambao kwa wamezaliwa wasichana tu.
Tena unakuta njemba ambazo zina mkono wa sweta ndo zinapata wachuchu wa nguvu na wachuchu wanaonekana kuridhika tu na penzi walipatalo.
Mtegeshee tandu amuume kunako ikulu....ikivimba unamuwahisha kulikata...
tokazako !
mwone vle!
kwani ile imeumbwa kwa matumizi gani?sasa kwanini niifanyie diet?toka zako bacha ushndwe na ulegee!!!!
SICHOKOZEKI!!!!!!!!!!!!!
hahahaaa bib weeeee uyu bacha alitaka kunichokoza ikabd nimwulize kwnza matumiz ya ile kitu labda mi sjui!!!!!!!Yaani nimecheka mpaka basi we rose wewe una mambo mweeeeee
Yaani nimecheka mpaka basi we rose wewe una mambo mweeeeee