jessetz
Member
- Nov 30, 2010
- 55
- 9
Kwanza naombeni samahani kwa kuchanganya lugha mbili. Nafikiria kuanzisha biashara ya ISP(Internet Service Provider), Tanzania, ninajua kuna mahitaji kama kuwa na business plan, kuwa na corporate structure, location ya ofisi, adequate facilities kwa ajili ya servers, lines,na mambo mengine ila sijui makisio ya gharama ya kuunganisha kwenye internet backbone na je ni TTCL ndio wanauza? Naombeni ufafanuzi wa hili ndugu zangu na gharama zake.