M mhondo JF-Expert Member Apr 23, 2011 968 342 Sep 2, 2012 #2 Mafuta mazuri kwa chapati yanafanya ziwe na ladha nzuri.
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,786 Sep 2, 2012 #5 Yakikaangia nyama hayo, inanukia dunia nzima! Siku hizi super ghee ndo replacement yake.
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 Sep 2, 2012 #6 Tulivyo kuwa wadogo tulikuwa tunafikiria wanawake wa kisomali wanaweka hayo mafuta kwenye chai Ndiyo maana wanakuwa wanene sana.Utoto raha.
Tulivyo kuwa wadogo tulikuwa tunafikiria wanawake wa kisomali wanaweka hayo mafuta kwenye chai Ndiyo maana wanakuwa wanene sana.Utoto raha.
Infopaedia JF-Expert Member Oct 28, 2011 1,231 1,487 Sep 2, 2012 #8 Ndiyo, nimetumia sana bafuni. Toilet ndiyo usiseme. Dah!
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Sep 2, 2012 #9 tz1 said: Tulivyo kuwa wadogo tulikuwa tunafikiria wanawake wa kisomali wanaweka hayo mafuta kwenye chai Ndiyo maana wanakuwa wanene sana.Utoto raha. Click to expand... Wanakandia makalio ili yashehene
tz1 said: Tulivyo kuwa wadogo tulikuwa tunafikiria wanawake wa kisomali wanaweka hayo mafuta kwenye chai Ndiyo maana wanakuwa wanene sana.Utoto raha. Click to expand... Wanakandia makalio ili yashehene
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 Sep 2, 2012 #10 MadameX said: Wanakandia makalio ili yashehene Click to expand... Aaah kumbe!