Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Anayekupenda atakujali, atakuheshimu na kukusikiliza.
Anayekupenda hawezi kumaliza siku nzima bila kukujulia hali na hiyo ni kwasbb muda mwingine utakuwa akilini mwake.
Anayekupenda hapendi kuona unakosa furaha kwa namna yoyote ile.
Hapendi kuona upo matatizoni. Hata kama hana uwezo ya kukusaidia atakufariji.
Anayekupenda utamjua tuu wala haina ubabaishaji.
Kwa hali hii wengi sana mta danganyika,trust me,
kukupigia simu mara kwa mara himaanishi ana kupenda