How does it work?

Davion Delmonte Jr.

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2013
Posts
2,149
Reaction score
1,720
Nimeamua kuuliza hili swali hapo juu.

Ni kipindi sasa nimekuwa nikisikia wanaume wenzangu wakisema kwamba "Nikishachukua namba tu mimi tayari nimemaliza shughuli" Hapa wakiwa na maana kwamba akipata namba ya msichana fulani basi lazima atamaliza mambo yote, kutongoza mpaka kula.

Sasa nimekuwa nikijiuliza sana kuanzia kipindi chote hicho kwamba kwanini kupata tu namba inakuwa ni one way ticket ya kumpata mwanamke fulani? Na nyie wanawake, ni kwamba huwa mkiwa kwenye convo za simu mnakumbwa na pepo la kujirahisi?

Ningeomba kufahamishwa kidogo, hii mbinu ya kuchukua namba kwanini inatumika kama tactic namba moja ya kumpata mwanamke?

Maana na mimi kidogo nili copy na ku paste huu uraibu wa kuchukua namba kwa kambi ya upinzani lakini sijapata ile output niliyoitegemea. How does it work? 🙄
 
Ukichukua namba ya simu usikurupuke..Hawa dada zetu unatakiwa uanze nao mbali kidogo unamleta taratibu mpaka anaingia kingi. Sasa mtu anachua namba leo,leo leo anamuambi dada nakupenda na maneno kibao. Kuna ambao wanaweza kukukubali ila walio wengi watakuzingua. Ukipata namba ya mrembo nitumie nikuonyeshe practical
 
Tunajua wanawake wanapenda care kutoka kwetu..so kupitia namba itakua rahisi kumjulia vihali vya hpa na pale..mwisho ataona unamjali alaf unamaliza pale kat
 
Yeh, sasa mi ndo nlikua nataka kuzi explore hizo steps.. embu tiririka mkuu.
 
Tunajua wanawake wanapenda care kutoka kwetu..so kupitia namba itakua rahisi kumjulia vihali vya hpa na pale..mwisho ataona unamjali alaf unamaliza pale kat
Yeh, sasa kuna wale makauzu huwa hawatoi ushirikiano ukishanzisha convo.. huwa inanitokea sana mwisho wa siku naamua kuwapotezea.. itakuwa kuna step namiss?
 
Yeh, sasa kuna wale makauzu huwa hawatoi ushirikiano ukishanzisha convo.. huwa inanitokea sana mwisho wa siku naamua kuwapotezea.. itakuwa kuna step namiss?
unatakiwa uwe funny kidogo..ladiez wanapenda kufurahishwa..so hakikisha convo yako haim.boi..
Ila ukiona no ushirikiano kabsaaa, piga chin maan hawa n wengi kuliko sisi
 
Huu mchezo huwa uko hivi:
Kwanza futa akilini mwako kwamba kila mwanamke atakaekupa namba utampata. Hata hao wanaosema huwa wanasema tuu lakini sio kweli. Lakini, kuwa na namba ya mwanamke ni hatua muhimu katika kujiweka karibu nae na pengine kumpata.
Ukweli ni kwamba kati ya wanawake labda kumi watakaokupa namba, ukienda nao vizuri unaweza ukatafuna labda watatu au wanne kwa vipindi tofauti. Kuna ambao watakupa namba leo, baada ya wiki unakula mzigo, wengine wakawa wanakuzingua, wengine utawapiga chini mwenyewe baada ya kuona hawasomeki, wengine wapya wanakupa namba.. Na mchezo unaendelea....
 
Sudhani kama wanawake wanajirahisisha kiasi hiko.
Wengine wanakupa namba simply kwasababu wameanza kuvutiwa na wewe. So, kukupa namba ni kama kuzidi kukuweka wewe karibu.
Na usidhani kula mzigo ni baada ya juhudi zako, inawezekana ni yeye amedhamiria kufanya hivyo.
Wakati mwingine tunawa-underestimate wanawake kwa uwezo walionao.
Kuna wengine kama wamevutiwa na wewe watafanya njia zote uwaombe namba wewe.
Wanakufanya ujione kama juhudi zote umefanya wewe.
 
Yeh, Nimekupata vilivo mkuu umerusha jabs zenye point kali sana mkuu... kudos!
 
Inawezekana kumbe ni kweli kabisa kwamba msichana anavoamua kutoa namba kwamba ameshakuelewa, so hapo ni wewe kumalizia na ku swim with tides. Nimekupata vilivo nadhani baada ya huu uzi creativity itaongezeka
 
Yeh, hapo nimekupata vema kaka, so baada ya kupata namba inatakiwa ku deal na quality ya convo? maana mimi most of the time najikuta nawasiliana na manzi mpaka tunajeuka kama kaka na dada,, kuna mmoja mpaka ikawa kila akiingia mwezini ananiambia, kwa kweli nlishindwa kumuelewa hasa alikuwa anamaanisha nini
 

Hapo ndio shida. Kama unamtaka manzi, throw in your A-texting game, halafu next day unauchuna. Asipokutafuta, basi bro, sio zali.

Ambao huna mpango wa kujihusisha nao kihivyo, ndio unaweza kuendelea ku-text nao mpaka utakapowachoka.
 
Mnachekesha...very busy kweli mnafundishana kututongoza


Proud to be a woman kwa kweli....

Anyways namba sio guarantee plus wewe unaesema kupitia namba sijui unajua mood ya mtu kwa dp,status blah blah,sijui kwa kweli.

As for me hadi uone dp na status labda niwe nimekusave...
Na hadi nikusave labda nakujua

Btw mostly siekagi....

[HASHTAG]#msituchukulie[/HASHTAG] poa

Ovaaa
 
Wanawake huwa tunawatafsiri tofaut nawalivyo ila sio kwawote, mwanamke anaweza kukupa namba yake kama muwe mafriend2 ila chaajabu mwanaume anatafsir kuwa amepewa namba bac tayar amekubaliwa yani kupewa namba2 tayar umeshajipa asilimia 95% zakumla kumbe cvyo hivyo. Mimi ishashuhudia jamaa yangu anashobokewa namadem ila anapojaribu kuwatongoza2 nandio unakuwa mwisho waurafiki. Hapa najifunza kuwa ckila mwanamke anayekushobokea anakutaka kimapenz wengine wanapenda2 kuongeza idadi yamarafiki nahata wanaokupa namba pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…