Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,720
Nimeamua kuuliza hili swali hapo juu.
Ni kipindi sasa nimekuwa nikisikia wanaume wenzangu wakisema kwamba "Nikishachukua namba tu mimi tayari nimemaliza shughuli" Hapa wakiwa na maana kwamba akipata namba ya msichana fulani basi lazima atamaliza mambo yote, kutongoza mpaka kula.
Sasa nimekuwa nikijiuliza sana kuanzia kipindi chote hicho kwamba kwanini kupata tu namba inakuwa ni one way ticket ya kumpata mwanamke fulani? Na nyie wanawake, ni kwamba huwa mkiwa kwenye convo za simu mnakumbwa na pepo la kujirahisi?
Ningeomba kufahamishwa kidogo, hii mbinu ya kuchukua namba kwanini inatumika kama tactic namba moja ya kumpata mwanamke?
Maana na mimi kidogo nili copy na ku paste huu uraibu wa kuchukua namba kwa kambi ya upinzani lakini sijapata ile output niliyoitegemea. How does it work? 🙄
Ni kipindi sasa nimekuwa nikisikia wanaume wenzangu wakisema kwamba "Nikishachukua namba tu mimi tayari nimemaliza shughuli" Hapa wakiwa na maana kwamba akipata namba ya msichana fulani basi lazima atamaliza mambo yote, kutongoza mpaka kula.
Sasa nimekuwa nikijiuliza sana kuanzia kipindi chote hicho kwamba kwanini kupata tu namba inakuwa ni one way ticket ya kumpata mwanamke fulani? Na nyie wanawake, ni kwamba huwa mkiwa kwenye convo za simu mnakumbwa na pepo la kujirahisi?
Ningeomba kufahamishwa kidogo, hii mbinu ya kuchukua namba kwanini inatumika kama tactic namba moja ya kumpata mwanamke?
Maana na mimi kidogo nili copy na ku paste huu uraibu wa kuchukua namba kwa kambi ya upinzani lakini sijapata ile output niliyoitegemea. How does it work? 🙄