kwanza tambua kuwa kupass au kufeli kuko kichwani mwako. kwanza jitambue kwa kujiuliza wewe ni nani, umetoka wapi, na unaenda wapi. pili, timetable, si kupang tu ratiba yako ya siku mzima bali na kuifuata bila kukwepa na kwenye hiyo timetable yako zingatia kuwa angalau masaa yasiyopungua matatu kw siku uyatumie kwa kusoma, tatu. hardworking, uewe na jitiada za ziada katika masomo yakokw mfano kutafuta tuition,kwenda library,discussion,na ikiwezeka kutumia mda mwingine tumia mda wako wa free kwa kusoma. nne, kuwa karibu na waalimu wako na wanafunzi wazako kwa kuuliza maswali usiyoyajua. tano, jifunze namna ya kujibu maswali ya mtihani. sita , pitia pastpaper atleast 6 years back. hayo ni machache niliyonayo kwa sasa ambayo kwa juhudi za binadamu chini ya jua anaweza kufanya , ila tabua kuwa kuna mengine mengi ambayo yako juu ya uwezo wetu ambayo atuwezi kuyafanya wala kuyapanga kwa kulitabua ili ibada za mara kwa mara zinaitajika tena sana, muombe mungu afanikishe jitihada na malengo yako. thanks
mimi sitofautiani sana na wadau waliyokushauri cha zaidi ni uachane na magroup yasiyokuwa na msingi mdogo wangu, soma kwa bidii unachofundishwa na uelewe sio u crame hapana, kusoma ni kuelewa
kwanza hakikisha una vitabu vyote vya kiada ambavyo ni latest
pili uwe na vitabu vya ziada pia vyakutosha..
tatu hakikisha upo kwenye group ya watu ambao ni vichwa
ikiwezekana wote wakuzidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.