How did i do that.......????

colin_morgan

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
2,443
Reaction score
2,926
Habar mabaharia wa jf ,
Leo nimerudi kidogo na ka mkasa flani hivi


Ni mda kidg wife hayupo home ,nimekua ninaishi alone

Sasa hapa jirani kwetu kulikua na kaschana (mwanafunzi) alimzoea sna wife alikua anakuja na kumseidia kazi za ndani sometimes aliondoka kwa mda kidogo


Sasa jana karejea ,kuja kugonga anamuulizia dada nikamwambia dada hayupo so now days nipo tu mwenyewe so from nowhere akaniahidi leo atakuja kunifanyia usafi wa ndani


Skua hata na mazingatio sna juu ya hilo , cha kushangaza leo mtoto kaja kavaa kapendeza mno

Basi nikamuonesha aanzie wap kufanya usafi , kafanya weee kamaliza kaja ku keti sehem tukawa tunacheki tv pamoja


Basi sikuweza kuamini , mtoto si ameanza kunisogelea na kuanza kunipapasa mkononi daah macho yamenitoka kumshangaa


Eti " kaka fulani mm nilikua nakutamani sana tokea zaman sema nilikua namuogopa tu dada "

Mmh nikimcheki mtoto yupo high on feeling na kumanisha she is ready to do .....

Yaani nikaona hapana siwezi kumshusha wife thaman kiasi hicho kwa ki dent ambacho hata kuvaa pad hakijajua vzur


Nilichofanya nimemshika na kumsogeza tu pembeni na kumwambia


"No i cant do this" na kwamba hisia zangu ni kwa mke wangu tu na sio kwa mwengine so i am so sorry for that



Hakuamin vzur hivi nahis awali ila at the end akaona nipo serious

Nikampa note ya 5000 nakumwambia asante kwa kuniseidia usafi


Yaani mabaharia mpaka saivi nashangaa nimewezaje kifanye vile

How did i do that?? Kwani hivi vyenye supu ndo ilikua ndo hobby yangu
Au wife kaniloga
??
 
Yesu aliposhinda majaribu ya ibilisi Iliandikwa hivi 'kisha ibilisi akamwambia, natazama malaika wakaja wakamtumikia.

Unaposhinda jaribu lolote malaika hushuka upande wako kuja kukutumikia, maana kushinda jaribu sio jambo dogo kabisa.
 
Tatizo alisema anamuogopa Dada, hivyo ukamuweka kwenye mizani na wife hatimae sifa na utukufu vikarudi kwa Mungu.
 
Huyo denti anaitwa Demiss?πŸ˜‚


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Huko kunaitwa kuruka majivu na kukanyaga Moto usifikiri ndo umemaliza tayari huyo binadamu kaweka kitu fulani akilini mwako,Kama hujafanya Leo basi kesho ipo kikubwa ni uzima na muda tu mambo hujipa yenyewe,tatizo si kukataa bali kuusimamia msimamo wa kukataa hilo ndo gumu..πŸ€“πŸ€“πŸ€“
 
Mimi ni wa kanda maalum huku,
Tunapiga ugali wa mtama na kichuri

Vip una lengine la kuuliza ??
Zakaria ameacha siku hizi kuwashusha kwny ma-bus yake huku akiwapiga viboko vya kutosha?
 
Umefanya vizuri mkuu, sababu huyo ni mtoto wa watu, pia ni mwanafunzi.
NA ningekua mimi ningemtandika makofi ya kutosha mpaka kwa wazazi wake na asikanyage tena kwangu.

Mwisho wake mbaya sana, Miaka 30 si mchezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…