Gwesefe
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 680
- 377
Duh we jamaa!Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Duh we jamaa!Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Duh we jamaa!Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Hii post inafikirisha sana.maana imetokea kweliKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Wanalenga ije iwe historical site kwa ajili ya utalii miaka ya mbele huko.Ila hawa wakongongoman hawana akili kabisa. Badala wangebadili matumizi gladolite kikawa chuo kikuu kikubwa kabisa wameacha wanamkomoa marehemu au? Shenzi kabisa
Muda ni mwalimj sijui wanajisikiaje waliokutukana hapo juu?Mjenge kwa hela zenu si hela ya kodi yetu! Chato kama ilivyo itakaribisha wakina Raila tu na haina umuhimu wa Uwanja wa Kimataifa ikiwa wa Mwanza upo!
Macence Mello anatakiwa kujengewa mnara pale round about ya Msamvu Morogoro ili iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo kwamba Tanzania aliwahi kutokea mtu mwenye maono akaanzisha mtandao uliokusanya mawazo ya Watanzania bila kujali itikadi wala dini yakawekwa hadharani bila kizuizi.Jf kuna GT walio tukuka
How did you know2025 mna uhakika atafika?
Crdb imegeuzwa club ya kuuza pombe baada ya kukosa matumiziCRDB???
BURIGI???
Nani atoke Geita akatibiwe Chato?
How did you knowKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Duuu!!! Balaaa!!!Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Wewe jamaaKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Loh..utabiri wa hali ya juu. Au ulijua mambo haya!Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Duh huu ni uongo maana crdb ipo na hiyo unayoizungumzia imekuwa club ni jengo la zamani la crdb. Sasa wana jengo jipyaCrdb imegeuzwa club ya kuuza pombe baada ya kukosa matumizi
Mmmmhhh. hapa Kuna kitu Cha kujifunza kutoka kwako !!Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Kigogo alitwambia Magufuli alikua na magonjwa yote yasio na tiba. Mwendawazimu, Kichaa, UKIMWI , Moyo mbovu na kadharika nakadharika..H
How did you know
not a dream at all,he knew must happen!!Mkuu u r dreams has become a reality.