ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,046
- 6,310
Chief uliona mbali sanaKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Chief uliona mbali sanaKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Kwa hii ulivunja record zote.Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Yaani Tz kuna machiziii chizi kama wewe, je kuna uhusiano gani na JPM?? Yaani wewe nahisi siyo mtanzania, unatuonea wivu sisi watanzania kwa kupata rais muadilifu.
Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
UTABIRI ULIOISHI
... Mungu wa Mbinguni ahimidiwe milele na milele!Chief uliona mbali sana
... hakika hili lilikuwa jicho la rohoni sawasawa na ule ufunuo wa MAGAMBA MATATU, kwamba baada ya 2015 Tanzania ingelitawaliwa kidikteta kwa kitambo!Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Aiseee!? Is it by coincidence au ni ufunuo?Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
AiseeYaani Tz kuna machiziii chizi kama wewe, je kuna uhusiano gani na JPM?? Yaani wewe nahisi siyo mtanzania, unatuonea wivu sisi watanzania kwa kupata rais muadilifu.
Watu noumaaKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
shikamoo mkuuKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Acha kusambaza uongo na uzushiKigogo alitwambia Magufuli alikua na magonjwa yote yasio na tiba. Mwendawazimu, Kichaa, UKIMWI , Moyo mbovu na kadharika nakadharika..
Na hata picha za vipaja na tumbo kuvimba, alituonyesha Kigogo. Kigogo apewe sifa!
Kampeni zimemuua Magufuli alikua tayari spana mkononi,, lori la mkaa tripu shamba tripu gereji.😂
Kama kuna wakulaumiwa juu ya kifo cha Magufuli ni wale wapambe wake, walioshindwa kabisa kumlazimisha aende nje ya nchi kutibiwa na akae huko hata mwaka. Mpaka afya yake itengemae ndio angerudi.
Anaendaje nje Ndugai kutibiwa UKIMWI na Sukari lakini Magufuli kaachwa ateketeee..
mkuu shikamoo kwa mara ya piliKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Tisha sanamkuu shikamoo kwa mara ya pili
Mkuu unajiskiaje leo ukisoma hii post yako ya 2016? Time flies mutha...fucker..Yaani Tz kuna machiziii chizi kama wewe, je kuna uhusiano gani na JPM?? Yaani wewe nahisi siyo mtanzania, unatuonea wivu sisi watanzania kwa kupata rais muadilifu.
Mkuu...hii post umepost 2016...umenitisha sana aisee kwanza hata geza ulole nyie ni hatari sana aiseeKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Mkuu hii post ya 2016...leo nimechoka kabisaBinadamu hupanga yake na Mungu hupanga yake....lets wait and see
Uwe unaweka akiba ya manenoYaani Tz kuna machiziii chizi kama wewe, je kuna uhusiano gani na JPM?? Yaani wewe nahisi siyo mtanzania, unatuonea wivu sisi watanzania kwa kupata rais muadilifu.
Nyie watu nyieKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Hii comment nimei screenshot maana huwa inafikirisha mengi sanaKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu