Kisusi Mohammed
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 563
- 468
Kaka siku hizi hakuna asikiaye la maandiko wala mnadi sala, watu wametia nta masikioni na kila mmoja anajaribu kujifanya mnyama kuliko mwenzie ndo maana kugombana, kuibiana, kufarakana hakuishi kwa sababu wanadamu tumeukataa uanadamu wetu na kuamua kuwa wanyama tusiofugika! Eeh bwana Mungu tusamehe viumbe wako maana hatujui tuyatendayo!