Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 10,488
- 16,646
Msemaji wa wapiganaji wa Houth wa Yemen amesema mashambulizi ya jana waliyofanya na kuwatia hasara mayahudi ni madogo kuliko yale wanayoweza kuyafanya kwa kutumia silaha mpya ambazo wanatengeneza wenyewe.
Msemaji huyo amesema katika mashumbulizi mapya ya Israel wao wamefanikiwa kuzuia sehemu ya makombora yaliyoelekezwa kwenye maeneo ya raia.
Akaongeza kwa kusema hiyo ikulu iiyopigwa wala hawaitumii kwa muda mrefu sasa.Wamepoteza nguvu zo bure.
Pamoja na hivyo wamesema wanafanya uchunguzi kuona iwapo Marekani imetoa ushirikiano kwa Israel ili wakigundua hivyo wataanza tena kulenga maslahi ya Marekani yaliyo karibu ya nchi yao.
Msemaji huyo amesema katika mashumbulizi mapya ya Israel wao wamefanikiwa kuzuia sehemu ya makombora yaliyoelekezwa kwenye maeneo ya raia.
Akaongeza kwa kusema hiyo ikulu iiyopigwa wala hawaitumii kwa muda mrefu sasa.Wamepoteza nguvu zo bure.
Pamoja na hivyo wamesema wanafanya uchunguzi kuona iwapo Marekani imetoa ushirikiano kwa Israel ili wakigundua hivyo wataanza tena kulenga maslahi ya Marekani yaliyo karibu ya nchi yao.