mbongowakweli
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 841
- 671
Tumeshapata mwajiriwa, asanteni sana kwa waliosaidia fatiki hii...
Maelewano, kati ya boss na houseboy..Mshahara unaanzia sh ngapi
Anayehitajika sana ni kijana wa kiume hasa, mwenye nguvu zake, anayetaka kufanya kazi kweli, anaamka 6am, anapiga kazi mpaka 12pm, anakula anapumzika mpaka 2pm, anaendelea na kazi mpaka jioni..Boss ni mmama au mbaba!
Ova
Ok......boss ni mwanamke au mwanaume!mkuuAnayehitajika sana ni kijana wa kiume hasa, mwenye nguvu zake, anayetaka kufanya kazi kweli, anaamka 6am, anapiga kazi mpaka 12pm, anakula anapumzika mpaka 2pm, anaendelea na kazi mpaka jioni..
Samahani, sikukuelewa, ni mwanaume mtu mzima...Ok......boss ni mwanamke au mwanaume!mkuu
Ova
Wewe nawe unataka boss awe nani?Ok......boss ni mwanamke au mwanaume!mkuu
Ova
boss awe mwanamkeWewe nawe unataka boss awe nani?
balaa nipale utakapotumika kuwafungulia watoto wakiwa wametoka mawindo.Kama bosi angekuwa ni mwanamke au la hasha ni mwanaume ila ana mke wake na ana watoto wa kike kuanzia miaka 20 hadi 35 mimi ningekuwa teyari kufanya kazi hata kwa 20,000 tu kwa mwezi
Hapo hapo na me nambananisha ukutani najilia vyangubalaa nipale utakapotumika kuwafungulia watoto wakiwa wametoka mawindo.
Nipo apa Namba yangu 0672493550Kijana wa kazi za ndani, nje, shamba, anahitajika..Dar es Salaam, awe mwaminifu na mchapa kazi, asiwe mtu wa kukaa kwenye vigenge nje ya nyumba wakati wa kazi, anatakiwa awe tayari kufanya kazi za ndani, nje (gardening), shambani na kazi yoyote ile atakayopewa na mwajiri wake, mshahara utaongelewa baada ya kuona anaweza kupiga kazi.
Anayejuwa wanaotafuta kazi please tuwasiliane, kwa PM..
Asante sana
Pole mkuu, tayari ashapatikana...Nipo apa Namba yangu 0672493550
Hapana, ni mkurugenzi wa TRA!Aah kumbe ni nyumbani kwa balozi wa america mamaaaa...nimechelewa