hahahaha si unajua mbuzi akikata kambaUnadhani wanaelewaga hawa!
Kwani kafanyajeMsamehe tu mkuu,nae ni kama mwanao tu,sasa angefanya hivyo mwanao mkuu ungepiga picha kuja kumuanika huku? take it easy mwabie madhara ya alichofanya na hupendi siku nyingine itokee,atakuelewa
Amekatwa mtama njiani
katumwa yeye kaenda kuchezaKwani kafanyaje