illuh
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 1,254
- 700
Nimeona nikiweka kma comment haitasomeka vizuri kwani comments ni nyingi sana tayari..
Napenda kujibu suala la dada aliyelalamikia hg na wababa na kuponda kuwa Ma hg hawajui kufua PICHU , wachafu nk....
NI KWAMBA HATA TUKIWA TUNAHELA NAMNA GANI, WAREMBO VIPIII TUSIKASHIFU WENZETU, ALIYE JUU MNGOJEE CHINI, NA ALIYE CHINI MNGOJEE JUU...Mungu humbadilisha amtakaye pasipo kutegemea....
Jamani wadada..Japo mimi ni mwanamke na nina mume na nina housegirl...Mwanaume kutembea na housegirl si dhambi...dhambi ni pale kuwa na mchepuko kwani anaweza kurudi na tope akaleta majanga ndani ya familia mkaanza kuishi kwa matumaini...Wanaume wengi wanajisahau wanafikiri mahouse girl hawana gonjwa...Kumbuka kuwa tena wao ndio wenyewe kwani wanapita kwa mabosi wengi wenye tabia za kinyama, bado hao vijana wa mtaa wakiona umeleta housegirl mpya kinakuwa ndio chakula chao...
Hilo suala la kusema housegirl hajui kufua PICHU mimi nakana kwani hata hao mabosi wapo kuna ambao hawajui kufua pichu zao hao mahouse girl ndio wanawasaidia kufua....Wapo Ma HG wasafi tuu, warembo tuu ...ni kuwa hawajakuwa na uwezo kama sie mabosi tulionao...Laiti wangepata hela za kuweza kununua PICHU kila kukicha kama sisi wangenunua nao na wangependeza tuu....Mfano mmoja ni JOYCE KIRIA alikuwa hg..je unamuonaje JOYCE ?? Vuta picha hapo nyuma yule aliyekuwa akimdharau kisa ni HG leo hii anaumbuka vipi??
Wakuwalaumu ni wanaume wanaopenda kuchepuka...na wasio ona aibu kutembea na mfanyakazi wake hali yakuwa wewe mkewe ni bosi wake kwani hii hupelekea mfanyakazi akakudharau kwani ashamjua baba hadi ndani..Unachokula na kustarehe wewe mama ashakijua naye anastarehe hicho hicho...Kama ni kiss nae analipata...Kwa hakika hapa wanaume wabadilike...Bora japo si sawa wachepuke nje ya nyumba ila sio hapo nyumbani kwani mfanyakazi (hg) huyo ni sawa na mwanae...Amheshimu, ampende kama mtoto, amjali...
Utakuta wamama wengine wanafakia hata kuwatenga hgrls wasile mezani, wasipendeze kuweka dawa ya nywele, wasivae nguo nzuri eti kisa baba atampenda...Jua hiyo ni tabia ya mumeo...Km amefikia kumchukua hg yaani km mwanae wa ndani...... jua huko nje ndio atakuwa mbwa koko....
Wanaome tunaomba muheshimu NDUGU wa mke msitembee nao, Muheshimu housegirls ni kama watoto wenu, Muheshimu yeyote aliyekuzunguka ktk familia au nyumba...Kama unataka kuchukua chukua nje mbaliii ambaye hausiki na familia yako...Ni laaana Muogopeni Mungu...
Napenda kujibu suala la dada aliyelalamikia hg na wababa na kuponda kuwa Ma hg hawajui kufua PICHU , wachafu nk....
NI KWAMBA HATA TUKIWA TUNAHELA NAMNA GANI, WAREMBO VIPIII TUSIKASHIFU WENZETU, ALIYE JUU MNGOJEE CHINI, NA ALIYE CHINI MNGOJEE JUU...Mungu humbadilisha amtakaye pasipo kutegemea....
Jamani wadada..Japo mimi ni mwanamke na nina mume na nina housegirl...Mwanaume kutembea na housegirl si dhambi...dhambi ni pale kuwa na mchepuko kwani anaweza kurudi na tope akaleta majanga ndani ya familia mkaanza kuishi kwa matumaini...Wanaume wengi wanajisahau wanafikiri mahouse girl hawana gonjwa...Kumbuka kuwa tena wao ndio wenyewe kwani wanapita kwa mabosi wengi wenye tabia za kinyama, bado hao vijana wa mtaa wakiona umeleta housegirl mpya kinakuwa ndio chakula chao...
Hilo suala la kusema housegirl hajui kufua PICHU mimi nakana kwani hata hao mabosi wapo kuna ambao hawajui kufua pichu zao hao mahouse girl ndio wanawasaidia kufua....Wapo Ma HG wasafi tuu, warembo tuu ...ni kuwa hawajakuwa na uwezo kama sie mabosi tulionao...Laiti wangepata hela za kuweza kununua PICHU kila kukicha kama sisi wangenunua nao na wangependeza tuu....Mfano mmoja ni JOYCE KIRIA alikuwa hg..je unamuonaje JOYCE ?? Vuta picha hapo nyuma yule aliyekuwa akimdharau kisa ni HG leo hii anaumbuka vipi??
Wakuwalaumu ni wanaume wanaopenda kuchepuka...na wasio ona aibu kutembea na mfanyakazi wake hali yakuwa wewe mkewe ni bosi wake kwani hii hupelekea mfanyakazi akakudharau kwani ashamjua baba hadi ndani..Unachokula na kustarehe wewe mama ashakijua naye anastarehe hicho hicho...Kama ni kiss nae analipata...Kwa hakika hapa wanaume wabadilike...Bora japo si sawa wachepuke nje ya nyumba ila sio hapo nyumbani kwani mfanyakazi (hg) huyo ni sawa na mwanae...Amheshimu, ampende kama mtoto, amjali...
Utakuta wamama wengine wanafakia hata kuwatenga hgrls wasile mezani, wasipendeze kuweka dawa ya nywele, wasivae nguo nzuri eti kisa baba atampenda...Jua hiyo ni tabia ya mumeo...Km amefikia kumchukua hg yaani km mwanae wa ndani...... jua huko nje ndio atakuwa mbwa koko....
Wanaome tunaomba muheshimu NDUGU wa mke msitembee nao, Muheshimu housegirls ni kama watoto wenu, Muheshimu yeyote aliyekuzunguka ktk familia au nyumba...Kama unataka kuchukua chukua nje mbaliii ambaye hausiki na familia yako...Ni laaana Muogopeni Mungu...