fourtypercent
Member
- Jun 4, 2011
- 53
- 20
Jamani wanandugu, kitu hiki kimekuwa kikinipa shida sana mimi, unakuta mtu ndugu yake au rafiki yake labda amemaliza la saba au form 4 ya 'Mulugo', katika kutaka kumsaidia anamtafutia kazi hii, je unapomtafutia kazi hii unaamini atatoka kweli? maana kwa uzefu wangu watu hawa wamekuwa wanaambulia matatizo mbalimbali hasa ukikuta mabosi wao hawajatulia, na mara zote wakichoka hizo kazi zao huwa wanakosa mwelekeo.
MY TAKE
Tujaribuni kuwapa ushauri au msaada ambao at least utamtengenezea future yake nzuri, mfano kumshauri aanzishe kibiashara hata cha mtaji mdogo(na ikiwezekana umuwezeshe), au aanzishe kilimo cha bustani au cha aina yoyote ili mradi awe na malengo maalum, mi nahisi utakuwa umemsaidia zaidi kuliko hizo kazi. NAWASILISHA
MY TAKE
Tujaribuni kuwapa ushauri au msaada ambao at least utamtengenezea future yake nzuri, mfano kumshauri aanzishe kibiashara hata cha mtaji mdogo(na ikiwezekana umuwezeshe), au aanzishe kilimo cha bustani au cha aina yoyote ili mradi awe na malengo maalum, mi nahisi utakuwa umemsaidia zaidi kuliko hizo kazi. NAWASILISHA