Marco shija
Member
- Sep 20, 2015
- 64
- 36
Nimemaliza form six may mwaka huu nikarudi home, nyumbani tupo 5 tu yaani baba, mama, wadogo zangu wawili na msichana wa kazi ambao asubuhi wakiamka wanaenda shule na wazazi kazini, wanapoondoka kazini ninabakia na msichana wa kazi.
Mwanzo nilichukulia kawaida kukaa nae ila baadae nikabadili utaratibu, wazazi wakiondoka naenda chumbani kwa dada (house girl) tunafanya yetu mpaka saa 2 anaendelea na kazi zake, Jana matokeo yametoka nimefaulu, leo kasikia baba yangu ananipongeza kwa kufaulu, kaingia chumbani kwake kanitumia msg ananiambia ana mimba yangu.
Nifanyeje?
Mwanzo nilichukulia kawaida kukaa nae ila baadae nikabadili utaratibu, wazazi wakiondoka naenda chumbani kwa dada (house girl) tunafanya yetu mpaka saa 2 anaendelea na kazi zake, Jana matokeo yametoka nimefaulu, leo kasikia baba yangu ananipongeza kwa kufaulu, kaingia chumbani kwake kanitumia msg ananiambia ana mimba yangu.
Nifanyeje?
