Hotuba za Rais Magufuli za kichwani zinakera, asome hotuba anayoandaliwa

...Habari!
Binafsi kuna vitu nisivyovipenda katika hotuba za Magufuli:
1. Kutoa lugha za kejeli Kwa watendaji/ wananchi.
2. Kuchukua maamuzi ya kuwafukuza watendaji bila uchunguzi (mf kumwondoa mkuu wa TAKUKURU kisa hajahudhuria mkutano wake, je ni sahihi kila mfanyakazi kuwepo mkutanoni? Kazi zisimame?)
3. Kutafuta zifa zisizo na msingi
4. Kutoa vichekesho visivyochekesha.
5. Kujiona kila kitu kafanya yeye!
6.


Rais wangu, sio kila anayekusifia anakukubali, wengine wanatafuta Ugali Tu. Acha mafanikio yako yapige kelele na si wewe binafsi. Usiwabeze wala kuwang'ong'a waliokutangulia, wakosoe Kwa busara. Usiwe kama Caesar Nero, yeye kila aliyemsifia alipata mkate, na aliyemuambia ukweli aliambulia kulala milele!
amesema unaweza kujenga any engineering structure (design and construction) bila feasibility study, sembuse kusema tu mdomoni!
 
Kwani sifa tunazo mpa sio za kweli?

Hizo speech zake za muda mfupi tu watumishi wamebadilika kupita maelezo wengi wao wameanza kujua wajibu wao nidhamu kazini na uwajibikaji umeanza kurudi.

Hizo speech unazo zitaka ww na ulizo zizoeya ndio zilizo haribu watz.

Watz wa leo hawataki speech laini laini na ukumbuke tumechelewa sana tuko nyuma ukilinganisha na dunia ilipo.

Leo unatoka boko unaenda mjini unatumia dakika 120 wakati tungekuwa tunaenda kama dunia inavyo kwenda tulitakiwa tutumie dakika zisizo zidi 30 tu.

Leo darasa moja lina watoto zaidi ya 50 na tulitakiwa darasa 1 lisizidi watoto 30 mpaka 35.
Leo dr mmoja anatibia wagonjwa zaidi ya 100 kwa masaa 8.

Acha MH RAIS ashughulike apunguze uvivu tulio kiwa nao tuache tabia ya kuishi kwa mazoeya na ujanja ujanja.

Tunapaswa kufanya kazi na tuishi kwa mujibu wa jasho letu.

Muda wa kucheka cheka umekwisha muunge mkono MH RAIS.
Kwahiyo kutokuwa na mpangilio wa hotuba ndio kunaondoa hayo
 
...Habari!
Binafsi kuna vitu nisivyovipenda katika hotuba za Magufuli:
1. Kutoa lugha za kejeli Kwa watendaji/ wananchi.
2. Kuchukua maamuzi ya kuwafukuza watendaji bila uchunguzi (mf kumwondoa mkuu wa TAKUKURU kisa hajahudhuria mkutano wake, je ni sahihi kila mfanyakazi kuwepo mkutanoni? Kazi zisimame?)
3. Kutafuta zifa zisizo na msingi
4. Kutoa vichekesho visivyochekesha.
5. Kujiona kila kitu kafanya yeye!
6.


Rais wangu, sio kila anayekusifia anakukubali, wengine wanatafuta Ugali Tu. Acha mafanikio yako yapige kelele na si wewe binafsi. Usiwabeze wala kuwang'ong'a waliokutangulia, wakosoe Kwa busara. Usiwe kama Caesar Nero, yeye kila aliyemsifia alipata mkate, na aliyemuambia ukweli aliambulia kulala milele!
Danger!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom