Kibwengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 6,838
- 5,294
Wosia wa Baba wa Taifa kwa Watanzania
"Mtu yeyote anayeonekana anapenda sana kwenda Ikulu, na hata yuko tayari kununua kura kufika Ikulu ni wa kukwepa kama ukoma. Hafai. Kwanza, hizo fedha kapata wapi? Mtanzania wa leo hawezi kununua watu bila kwanza yeye kununuliwa. Kazipata wapi? Watanzania hawa wote masikini hawa. Mtanzania anaomba Urais wetu kwa hela, amezipata wapi? Kama hajanunuliwa kazipata wapi huyu? Na kama kanunuliwa anataka kuzilipaje. Kama kakopa, atarudishaje?"
"Mtu yeyote anayeonekana anapenda sana kwenda Ikulu, na hata yuko tayari kununua kura kufika Ikulu ni wa kukwepa kama ukoma. Hafai. Kwanza, hizo fedha kapata wapi? Mtanzania wa leo hawezi kununua watu bila kwanza yeye kununuliwa. Kazipata wapi? Watanzania hawa wote masikini hawa. Mtanzania anaomba Urais wetu kwa hela, amezipata wapi? Kama hajanunuliwa kazipata wapi huyu? Na kama kanunuliwa anataka kuzilipaje. Kama kakopa, atarudishaje?"