tuliroastje hili jamaa sisi wenye nchi? hakuna namna kweli?Rost Tam Aziiv fisadi papa lililoiweka mfukoni 'sirikali' ya chura kiziwi!!!.
Halafu lipo kama kitimoto!tuliroastje hili jamaa sisi wenye nchi? hakuna namna kweli?
Baada ya hotuba hii Rostam alipiga simu moja tu jumba jeupe na kilichofuata hadi leo Lissu yuko gerezani kwa kesi yauongo lakini kisa ni hiki.
Mmmh astaghafiruHalafu lipo kama kitimoto!
Halafu lipo kama kitimoto!
Tundu Lissu JamaniMwentekiti wa CHADEMA Taifa alipohutubia Wananchi wa Bamba Bay akataja kuhusu Makaa ya Mawe, hii ilikuwa Aprili 9, 2025, kilichofuata baada ya hapo....