Hivi wale watoto wa Tabora walikufa wangapi? Hatua gani zimechukuliwa mpaka sasa? Poleni wafiwa na wahanga wa mbagala
Asha
Washasahau kama tutakavyosahau hili baada ya wiki moja hivi.
Keshokutwa utasikia, Zombe, Ufisadi, Mengi habari ya mbagala kwisha kazi.
Na serikali wanatake advantage kimyaaaaaaaa! Tusubiri lingine