mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Habari wadau sipo kisiasa katika kuvhumbua hoja zangu ndio maana huwa namuelewa Rais wetu nini huwa anamaanisha
Nisiongee mengi Ila tuongelee vipimo vya Corona TANZANIA sababu hata kabla magufuli hajasema juu ya iv vipimo nilikuwa nimesha tia Shaka juu ya vipimo vya CORONA nchini Uganda Maana Uganda walikuwa kila wakipima watu kumi mfano madereva wanakuta 9 wana Corona. Nikajiuliza sikupata majibu
Leo rais kasema kapeleka sampo za vitu kadhaa tofauti tofauti lakini majibu yametoka kua. Baadh ya vitu vina Corona
Je. Corona ni nn Kama vipimo vinsonesha mpaka kwenye papai Kuna Corona kwa mujibu wa vipimo watu tutaweza kujificha wap ili tuepuke Corona? Ok nimeona baadh ya watu wanasema hawashangai Corona kukutwa kwenye mbuzi but why marekan walishangaa kukuta Corona kwenye chui jibu utapata kwamba. Wanyama hawana Corona na chui wa Marekani aliambukizwa kutoka kwa binadamu so vipi sisi huyu mbuzi wetu Alie kitwa na Corona?
Jibu ni simple tu Tanzania na hata baadhi ya nchi zinatakiwa ziwe makini na vifaa vya kupimia Corona isije ikawa ni Kama mashine za betting zimeshasetiwa majibu yote na huenda kupitia mashine zetu za kupimia tunawachanganya wagonjwa na watu wazima mwisho wa siku wagonjwa wazid kuwaanbukiza wazima maabara zetu huenda ndio zikawa matatizo makubwa ya usambazaji Corona
Pia rais kusema hayo Sio kwamba haamin Corona ipo apana anafaham vizuri na anafaham Zaid kwamba Kuna vitu havipo sawa apa hasa katika vipimo huenda Alie tupa vipimo ndio anae sambaza Corona Africa na kuhusu vifaa wote Africa tunatumia maden China na uzuri mifano ya vifaa vya China kutiliwa mashaka tunayo mingi Sana baadhi ya nchi kubwa za wazungu wamesharudisha vifaa vya China vyote wakidai haviko sawa
Nahis uzembe anao ukwepa Rais Magufuli ni Kama ule wa Italy, Marekani na nchi zingine walioufanya wa vipimo vingi vya bila matokeo mazuri mfano Italy alifunga nchi mzima Sasa hivi ni Zaidi ya miezi miwil Sasa haya tupige hesabu
Watu wako ndani wamefungiwa Ila bado Kuna wagonjwa je wanatoka wap wakati ilitakiwa baada ya kufungulia watu baada ya zile wiki mbili za mwanzo walitakiwa wagonjwa wote walio athirika wangeweza kuonyesha dalili na kujua wangap wanaumwa na wangap hawaumw lakini mpaka Sasa ni miezi 2 still bado wanaitaj muda kubain wagonjwa so Kama ni ivyo Basi watu watakua bado wanaambukizana je wanaambukizana vip? Kama Rais Magufuli alivyosema huenda bado Kuna kitu hakijaeleweka kwenye huu ugonjwa watu wanatakiwa wachunguze Zaidi
Pili maabara yetu nafikiri Rais Magufuli kawapa dongo tu ili wajitathmini wapi wanakwama wakaparekebishe wajaribu kununua hata vifaa nchi zingine tuache kutegemea vitu vya misaada Corona ipo inaua Ila kupambana nayo bado ni mtihani Kwani hatujaujua ugonjwa vizuri anaebisha ataniambia Nani ameumaliza kwa kujifungia ndani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisiongee mengi Ila tuongelee vipimo vya Corona TANZANIA sababu hata kabla magufuli hajasema juu ya iv vipimo nilikuwa nimesha tia Shaka juu ya vipimo vya CORONA nchini Uganda Maana Uganda walikuwa kila wakipima watu kumi mfano madereva wanakuta 9 wana Corona. Nikajiuliza sikupata majibu
Leo rais kasema kapeleka sampo za vitu kadhaa tofauti tofauti lakini majibu yametoka kua. Baadh ya vitu vina Corona
Je. Corona ni nn Kama vipimo vinsonesha mpaka kwenye papai Kuna Corona kwa mujibu wa vipimo watu tutaweza kujificha wap ili tuepuke Corona? Ok nimeona baadh ya watu wanasema hawashangai Corona kukutwa kwenye mbuzi but why marekan walishangaa kukuta Corona kwenye chui jibu utapata kwamba. Wanyama hawana Corona na chui wa Marekani aliambukizwa kutoka kwa binadamu so vipi sisi huyu mbuzi wetu Alie kitwa na Corona?
Jibu ni simple tu Tanzania na hata baadhi ya nchi zinatakiwa ziwe makini na vifaa vya kupimia Corona isije ikawa ni Kama mashine za betting zimeshasetiwa majibu yote na huenda kupitia mashine zetu za kupimia tunawachanganya wagonjwa na watu wazima mwisho wa siku wagonjwa wazid kuwaanbukiza wazima maabara zetu huenda ndio zikawa matatizo makubwa ya usambazaji Corona
Pia rais kusema hayo Sio kwamba haamin Corona ipo apana anafaham vizuri na anafaham Zaid kwamba Kuna vitu havipo sawa apa hasa katika vipimo huenda Alie tupa vipimo ndio anae sambaza Corona Africa na kuhusu vifaa wote Africa tunatumia maden China na uzuri mifano ya vifaa vya China kutiliwa mashaka tunayo mingi Sana baadhi ya nchi kubwa za wazungu wamesharudisha vifaa vya China vyote wakidai haviko sawa
Nahis uzembe anao ukwepa Rais Magufuli ni Kama ule wa Italy, Marekani na nchi zingine walioufanya wa vipimo vingi vya bila matokeo mazuri mfano Italy alifunga nchi mzima Sasa hivi ni Zaidi ya miezi miwil Sasa haya tupige hesabu
Watu wako ndani wamefungiwa Ila bado Kuna wagonjwa je wanatoka wap wakati ilitakiwa baada ya kufungulia watu baada ya zile wiki mbili za mwanzo walitakiwa wagonjwa wote walio athirika wangeweza kuonyesha dalili na kujua wangap wanaumwa na wangap hawaumw lakini mpaka Sasa ni miezi 2 still bado wanaitaj muda kubain wagonjwa so Kama ni ivyo Basi watu watakua bado wanaambukizana je wanaambukizana vip? Kama Rais Magufuli alivyosema huenda bado Kuna kitu hakijaeleweka kwenye huu ugonjwa watu wanatakiwa wachunguze Zaidi
Pili maabara yetu nafikiri Rais Magufuli kawapa dongo tu ili wajitathmini wapi wanakwama wakaparekebishe wajaribu kununua hata vifaa nchi zingine tuache kutegemea vitu vya misaada Corona ipo inaua Ila kupambana nayo bado ni mtihani Kwani hatujaujua ugonjwa vizuri anaebisha ataniambia Nani ameumaliza kwa kujifungia ndani?
Sent using Jamii Forums mobile app