Hotuba ya Rais Kikwete June 02, 2012!

Halafu mbona anakwepa kuzungumzia mauaji na mashambulizi dhidi ya viongozi wa CDM huku bara? kuna tofauti gani na huo uvunjifu wa amani ZNZ?
 
Wanabodi, Naomba kusaidiwa 1/3 ya 925 ni 239? Kwa heasbu za makisio ya karibu (approximation) zipi?

Kwa mahesbu halisi, robo (1/4) ya 925 ni 231+some points. Hivyo alitakiwa kusema hiyo ni robo. Amefanya hivyo kwa makusudi au anataka kuhalalisha safari zake za omba omba huko nje ya nchi?

Kwa hali hii tusishangae tunapoambiwa uchumi wetu unapaa. Mahesabu yenyewe ndo hayo ya kuchakachua tu ya Dr, Dr, Dr +++ JK ...

Bora umeniwahi ndugu yangu.,nlikua naumiza kichwa hapa...Robo ya 925 ni 231 na ushee..,sasa hyo 239 anayotusomea hapo kuwa ni theluthi moja ya 925 cjui kaandikiwa na nani.. Ubaya wa taarifa nyeti kuandikwa na mtu mwingine huo...Anasoma tu...
 
Comrade kaganyi we ni mkaaaaaaaaaaaaaaaaaaali salut kwako uliitoa wapi hii namsikiliza hapa huku nasoma uzi wako daaaa yaani nimestaajab sana salut kwako Kaganyi for the first time nakiri sikufanya kosa kujoin JAmii Forums
 
Unless we expected MIPASHO. mkuu wa nchi ameongelea masuala ya Muhimu sana ya Taifa Letu... Kama huoni then you must be those Wanazi.... ambao taifa ni ya pili baada ya mkusanyiko wa Chama.
 
Kwanini hawa viongozi wanawahadaa wananchi wao?

Hiyo fursa ya tume ya katiba ni ipi? je kuna fursa ya kuvunja muungano?

Mbona tunafanywa kama vitoto jamani?
 
Nilichovutiwa nacho ni ''Ndugu Wananchi'' tu.
Hayo mengine ni ya kuwapumbaza wale waishio kwa akina kayumba
 
Nyota ya Geneva ya Afrika lazima iendelee kuangaza. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
Binafsi sipendi Arusha au mji wowote ufananishwe na mji wa nchi nyingine. Nadhani hata ukumbi wa AICC walishafuta hiyo slogan. Sisi ni tofauti na miji yetu ina ubora tofauti na tuikuze iwe tofauti. Ndio yale yale kuku wa kizungu, au mchezaji wa timu ya ligi ya hapa apewe jina la Messi/Ronaldo nk. Tukuze vya kwetu na tuwe proud kuwa huwezi kukuta mji mzuri kama Arusha, Zanzibar, Lushoto mahali pengine popote duniani isipokuwa Tanzania
 
Msikilize presidaa, dokta JK anahutubia hotuba ya mwisho wa mwezi ( 2/6/2012 tuseme ya mwanzo wa mwezi).
 
Hana jipya huyu atabwabwaja tu kama ilivyo kawaida yake.
 
Nimefurahia hili la waathirika wa machafuko ya Zanzibar kuwa ni mtihani. Sasa najiuliza mtihani huu kautoa nani? Mungu ama serikali ya Jk?
Kwa kweli tulikotoka ni karibu tunakokwenda ni mbali!!
.
 
anaongea stunt growth wamedumaa ha ha ongea habari za wanaotaka kujitoa kwenyE mungano bwana duuh bwaja bwaja tuu,miaka saba madarakani bado yeye anachoongea ni kupewa misaada tuu ,na nchi yetu kutanganzwa ndio tija duh kwa kweli hatuna kiongozi tunakichwa cha samaki misaada misaada hakuna akili ya sisi wenyewe kujikwamua
 
Katika hotuba yake ya Leo raid wetu anasema tukapeleke maoni yahusuyo muungano kwenye time ya katiba!!
Awali alisema tume hairuhusiwi kuhoji muungano, kwa mantiki hiyo tume haina kipengele hicho watayaweka wapi? Kumbuka hadidu anazitoa yeye! Katudanganya na sio kuwa kigeu geu maana sitegemei kwamba atabadilisha hicho kipengele kwenye tume!
je tumfanyeje ili ajue katudanganya na tunajua?
 
naona leo anajifanya anajua sana mambo ya kilimo... kila kitu wahisani, wahisani watatupa watupaaaaa...bilioni bilioni kadhaaa.. nadhani anaonyesha umuhimu wa safari yake... anaelezea kuwa watu binafsi watapewa mashamba makubwa bila kupora maeneo ya wakulima wadogo... ahaaa daah huyu jamaa bora amalize tu aondoke, anaeleza sifa ya mkutano ulioisha jana arusha anadai ni maendeleo coz arusha watu walijaaa kila hoteli coz ya ule mkutano.... anaeleza hao wageni watatembelea hifadhi za wanyama. Jamaa ni kama anapiga stori kijiweni tu hana strategic yoyote.....anawasifu watu wa arusha kwa kuwapokea hao wageni katika mkutano wa arusha, kimtindo ni kama anaiponda chadema arusha, coz anasema kwa hari ilivyokuwa miaka miwili iliyopita arusha ilikuwa haijatulia.....so hata serikali isingekubali hao wageni wafikie arusha, anasema watu wa arusha waamue kutoka miyoni mwao kuasimamia utulivu ulipo now uendelee kuwepo, ni kama anasema labda lema asingevuliwa ubunge basi huo mkutano leo usingefanyika arusha, ni kama anafurahia kwa mambo ya kisiasa yalivyo now arusha... aneleza jinsi barabara zetu zinavyojengwa kwa wahisani wa kijapani na wamarekani kutoka tunduru mpaka mangaka... anaeleza kuwa kuna reli ya geji kubwa inataka kujengwa kutoka dar mpaka rwanda, anawasifu waitalia wanavyosaidia katika elimu, afya, na sayansi, jambo la tatu la tatu anazungumzia vurugu za zanzibar... anasema madhumuni ya uanzishwaji wa uamshu ulikuwa ni kwa madhumuni ya kidini,now wamecheng wanaelezea habari za muungano na chuki.. na matusi, anadai wanapandikiza chuki kwa wakristo, na wabara.. na makanisa kuchomwa, anadai vitendo hivyo ni uhalifu na ni vigumu kuvivumilia, anaungana na dr, shein kwa mambo yote atakayofanya, anasema ukristu haunguia kwa sababu ya muungano... dini ya kikristo ilienezwa bara kutokea zanzibar... makanisa ya agrikana na roman catholic yalikuwa ya kwanza kujengwa hata kabla ya mji wa zanzibar kukua
 
...."Kumchagua Kikwete katika uchaguzi mkuu wa 2010 ni janga la Taifa." ~ DR Slaa
 
amemaliza alikuwa anatabasamu
tuuuuuu na kukenua meno

"eti wageni wakija kufanya mikutano
arusha atapunguza safar za kuwafata"
 
muulize jaji Kisanga baada ya kuwasilisha matokeo ya tume yake wakati huo
 
Back
Top Bottom