Hotuba ya Rais Kikwete June 02, 2012!

...Maskini nchi yetu!!! Bora hata tusingekuwa na Rais.
 
Comrade kaganyi we ni mkaaaaaaaaaaaaaaaaaaali salut kwako uliitoa wapi hii namsikiliza hapa huku nasoma uzi wako daaaa yaani nimestaajab sana salut kwako Kaganyi for the first time nakiri sikufanya kosa kujoin JAmii Forums

Ilivuja ka mitihani ya NECTA
 
wenyewe muamsho wamekana kuchoma moto makanisa, just ni njia ya kuwadhoofisha katika harakati zao za kudai zanzibar huru!
SOLUTION NI KURA YA MAONI KWANZA then mchakato wa katiba baadae.

jaribu kutumia akili,
makanisa yamechomwa moto sasa huku kukana kwao kuna mantiki gani?
 
Presidaa kaongea, sauti inasikika bila noise, lugha laini km anaomba msamaha(au kura) vile.Ila ujumbe kama anawacheka nyani ili waone aibu waache kula mahindi.Hotuba yake haisimami kwa vile si imara, ni spineless.

-President kaanza sifia mkutano na mapato kwa Arusha na serikali yake.Then akapiga propaganda hatarishi tena kwa tishio lake kuu CDM directly, kwavile hakuwa anaisoma vizuri akajikuta kuwa inaweza kula kwake,akachokea kuwa na watu wa nje wanaotaka leta macahfuko.Ujumbe upo wazi kuwa bado antaka tuaminisha kuwa maandamano Mjini ausha ndio yangeweza zuia huu mkutano. Sipende uliza wala zungumzia ukweli wa hizo faida kwai sijui kafanya vipi hizo analsis za faida ?sjui alikuwa anongelea mkutano gani kt ya iliyokuwepo arusha.Pia sijui kaongelea kada zipi za hao wageni?waandishi km akina kibondo(wengi), madereva n awapiga picture wa east africa(wengi),ambao wote zaidi kutumia hela za hapa hapa walikuwa wanaspend kwa cheap changudoas ambao ni mateja, sijui atatuambia ni wangapi kt ya top dogs walitumia hela zao, kwani km ni ni ule wa ADB kumbembeleza mikopo kunaweza ambatana na offer bwerere...kwa hiyo faida mi sitaki ongelea.

-Kuhusu sijui amani: Ni wazi alikuwa akiongelea maandamano,nayo anayapeleka kwa CDM kwani ndio claim yao ya muda mrefu.Ila hajaongelea Kuwa Zanzibar ndio tishio kwa wagemi wa ndani nje, wawekezaji wa ndani na nje.Mitandao mingi ya balozi,taasisi za kijamii, za UN, za Africa, za Kidini na hata wanauamsho wenyewe wamejaza ktk Utube hali halisi.

Suala la maandamano linawahusu zaidi wao na michezo yao.Pia bado wageni hawachukulii hivyo ndio maana ktk zile alert za balozi mbalimbali duniani .Arusha huwa wanatoa warnings ya majambazi wanaovamia wageni ,matukio km ya wasomali, ajali na magonjwa.SO rais kaonyesh asivyoijua arusha na jinsi asivyokua trends za utalii pamoja na kuwa nimsafiri sana.Hili alithibitisha pia kipindi ch awamu yake ya kwanza ,kauli zake ktk support ya utalii zilionyesha kutaja terminologies kwa style ya novice km si alien.


Rais anonekana kuwa yupo sayari nyingine ingawa amekuwa wazii wa mambo ya nje kwa muda mrefu na Anakijua kituo cha mikutano AICC na anajua wizara husika walivyokosa utendaji fanisi, anajua hata Tanapa na mamlaka ya hifadhi ya ngorongoro walivyokosa ubunifu, mikakati ya kurahisisha utalii, kufanya utalii wetu uwe wa kiwango, walivyoshindwa kutafuta njia za kupunguza bei huku ubora ukiwa juu.Kwani wapo kisiasa, wapo kifisadi, wanamkusanyiko rasilimali zisizo na njia bora ya kuzisimamiwa na kuzitumia kwa ufasaha. na wanapeleka uwekeza ktk sehmu zisizo sahihi.
Tazama Big screen Za TANAPA zilizopo maeneo mbalimbali jijini arusha zinavyoonesha picture za kiwango cha chini na za kizamani,Hazipiti kwa mpangilio.Utazania zilinunuliwa just because mtu alikuwa nataka hela ya fasta kupitia cha juu. Tazama bei zai kumbi zilivyo juu na zilivyo na mkusanyiko wa huduma za ziada zisizo na mpangilio na huku zinatozwa gharama kubwa ,hata km watoa huduma binafsi mjini wanazitoa bure wao wanatoza bei mbaya.

-Raisi haangali huduma duni za taasisi zake Arusha na wizarani:
1.hajaangalia idara ya huduma kwa mteja, na masoko wasivyoweza.Kwanza ktk sura ya dunia watoa huduma hawajitangazi vizuri,hawajui huduma za ziada zinazowazunguka na kuwa na mahusiano mzuri na ya pamoja na hao watoa huduma ili kumpatia mteja huduma ktk package mojana kwa bei nzuri.

-Watoa huduma za utalii wa mikutano na mikutano,pamoja na wizara husika hawana 24/7 service ,na hawapatikani kupitia njia zote za mawasiliano kwa pamoja. na taarifa zake kuunganishwa.

-Raisi hajui kuwa wasimamizi wao kisiasa hawan huo uwezo km waandikavyo ktk majarida na report zao, na faid ayoyote ipatikano inatokana na wageni waliojileta au kuletwa na serikali.Hawajui kuwafuata na kuwafuta hadi mlangoni hao wateja.Watu wa marketing wapo busy na per diem, allowances za vikao kuliko kuwa na mpango wa kufuatilia mikutano mikubwa duniani,kujua ilipofanyika, sababu za kupchagua , huduma walizopata na ubora wake, mikutano inayoduia ,budget zao, na kisha kuwatafuta wahusika ,kwa kutumia nyenzo za mawasiliano, kwa wale walio karibu ktk miji ya nchi mbalimbali wanaweza andaa promo huko huku wakifanya tafiti.

-Rais hajui kuwa hata taasisi km NSSF na PPF, na hata mabenki wanweza fanya mikutano kupitia waandaaji binafsi kuliko Kituo cha serikali kwa sabau ya gharama na kutokuwa na kipya toka kwa hawa jamaa.Kwa vile hawa wanajua hajui na sababu ya kuchakachua ataipenda ili imsaidie kisiasa.

-Rais hajui km ilivyo Ikulu mteja wa kujileta ambaye akitaka pata maelezo inaweza mchukua siku nzima pata maelezo, na siku nyingine kadhaa kupata quotation,ten akwa kuwasukuma hawa wachakachuaji. Wakati Kenyatta,south africa etc kwanza wao ndio wanamtafuta na kunfuata mteja, na anayetaka kuulizia basi atapata majibu instantly kupitia simu,email,fax etc, na atajulishwa kipya asichokijua, na atapewa bei nzuri.Wakti huo hawa wahcakachuaji wa Kikwete watakuwa wakipigana mkara dakika za mwisho nani wa kujibu,anayejibu anapeleka quoation ikiwa na mapungufu,haisemi discount na bei ya huduma nyingine saidizi hadi wauliswe tena.By that time wenzao na ndoa wameshafunga.

Rais anasahau kuwa nao ni wanasiasa as wamewekwa kisiasa na muda wote siasa zinakuwa na umuhimu kuliko hizi kazi.Na hivyo uwezo wao unakuwa wa mashaka kadiri siku zinavyokwenda.mwishowe hivi vituo vinakuwa km vile hostel,mtu unapanga halafu ukatafute chakula mwenyewe, ukaelekeze nini cha kuweka na kiwekwe vipi.

KWA UJUMLA KTK HILI RAISI KASHINDWA SEMA UKWELI KUWA WAANDAJI WA MIKUTANO WAPO ICU.


Kuhusu suala la Uamsho rais kajitahidi kutaja mhalifu kwa jina na msimamo, na mwathirka kwa jina.Na hii ni kwa vile mashinikizo hayakurusu kuwaita wahuni tena, na wala kuhusisha sana muungano kwani si salama sana kwake kisiasa.Alichoweza kufanya ni kwenda mbali kujiweka ktk kundi la victims,kuwa naye katukanwa.Kilichomifanya niandike haya melezo ambayo ni kwa faida ya presidaa na wananchi:

-Presidaa hakusema hatua zitakzochukuliwa kwa ufasaha na uhakika.Rais hakuwakemea kwa nguvu zote na moyo wote.Yeye kawataja km ndugu, na kuwaomba wasijiusishe na siasa tena ,na kwa sauti ndogo pia wasijihusishe na mihandara ya kichochezi.Il ahakusema km hatima ya makanisa yaliyoteketea na urejeshwaji wake,km sheria isemavyo ktk uharibifu wa mali.Rais hakueleza madhara yaliyotokea n yanayoendelea tokea.

-Presidaa kwa kugh aliyoongea ni km alikuwa akiongea na watani zake,na anasahu kuwa waliyofanya UAMSHo dhidi yake na ya wengine yanazidi ya the "lonely dog" Mtikila kumwita gaidi...Rais hawezi jitete kuwa hawezi ingilia mahakama, kwani yapo mengi yamehusiswa naye kuingilia uhuru wa mahakama.Kwani rais anaweza waita wanaoshiaki kwa niaba yake na kuwaamuru watoe hilo suala mahakamani na kulimaliza.

Rais kaishiwa nguvu km kawaida yake kutokuja na majibu yaliyo wazi.yey huja majibu yenye sura nyingi kiasi ch akunfanya muulizaji au msikilizaji kujichagulia apendalo. Matokeo yake Nchi inakuwa km zilivyo za Misri na Nyingine,kanisa linachomwa kujengwa ni ni mlolongo wa procesures za kupata ibali cha matengnezo au hata kuweka jipya.Sasa huko watu wa jinsi ya uamsho, kazi zao ni km za tembo. Akijisikia kujisugua /kujikuta basi huenda ktk kichuguu cha mchwa na kujisugua, hadi wanakiharibu,na wanaweka mkojo mwingi unaoshuka ndani ya matundu ktk nyumba ya mchwa waliyofumua+ kinyesi kikubwa sana ambacho kinaharibu kabisa maisha ya mchwa kiasi cha kushindwa endelea na hicho kichuguu. Mchezo huu huendelea kupitia uduni na hata ushirikiano na dolar na useful I.D.I.O.T.S.Taratibu wakristu wakajikuta wamekuwa second class and minorities .hen serikali inakuwa Ya Kiislam .Kuanzia hapo wakajikuta ,mchezo wa tembo umekuwa tofauti sasa tembo akijiskia adrenaline zimeongereka basi anweza sema kuwa kasikia neno baya kwa hiyo wanakujatoa adhabu ambayo hukumu yake walitoa wenyewe pia, nakufuatiwa na makaripi makali kutoka watwala walijiambatanisha na dini kwa wale waadhibiwao na umma wenye hasira.Basi watu wanakuja chomewa kanisa,uwawa, wanaambiwa wazi kuwa Ukristu si dini ya kweli

Nilitegemea rais anjua vyema na angekuja na kauli kuwa yale makanisa lazima yajengwe upya, lazima ayajengwe kwa style yenye material yasiyoungua+kuweka vvyombo vya kudhibiti mioto kisha ndio aombe hizo amani kuwepo.Ila yeye anaomba amani kati binadamu na mamba anyeingie ktk ulimwengu wa kula viumbe wa aina ya binadamu(itikadi zilizohubiriwa kwa miaka kadhaa visiwani na hata maeneo ya bara ,si za kucheka nazo)

Ushauri Wangu serikali ihakiishe haya:
-wahalifu wapigwe fine na wajenge Makanisa Upya kwa kushirikiana na serikali,ili kuwafundisha kwa kuwaonjesha hasara.

-Serikali ijue kuchoma kanisha mbali na kuharibu kanisa kuaweza tumika kumaliza makanisa na pengine kuzui mazingira ya kujenga.Am kwa kukosa fedha, ama kwa vitisho vya makundi haya, ama kwa sheria za serikali zenye misngi ya kidini.

-Rasi kachemsha kuhusu kinachoendelea kuhusu Mtikila,Wakati ktk hili kamalizia hotuba kwa kuwaomba wapunguze upana wa uamsho..kidogo waache siasa+kumtukana yeye.

Kwa udhaifu huu kunamfanya Mtikil aonekane yupo sahihi.Kwani km kanisa linachomwa ,halafu wahalifu wanajulika nia yao, walichosema na wanchofanya,then wanapata watetezi wa kada zote ktk jamii.Wanaitwa ni wahuni tuu(ila kimya kuhusu hasara) ,wanatetewa kuwa ni wanamapinduzi, na wachukia Muungano.Sasa sijui kwanini hawakuchoma na Misikiti ya Wabara huko ili kuonyesh jumla kuwa hautaki muungano?..
 
Bora Mimi sikukosea kuanzia 2005 na 2010 hakuonja kura yangu kwahiyo Nina ruhusiwa kulalamika sasa wale mliompa kura zenu vumilieni mpaka 2015 tuupige ccm chini ili muwe Kama Mimi kwi! Kwi! Kwi! Kwi!
 
Hotuba ya 'ba ritz' imechina ila kanifurahisha pale alipozungumzia suala la vurugu za Uamsho znz, ameitambulisha znz kama Jiji! Anasema, vurugu zilizotokea katika jiji la znz hasa mjini magharibi Unguja"
My take:
1. Znz ni nchi, mkoa au jiji?
2. Tuamini kauli ya raisi, jiji la znz, je shein anasimama kama raisi au ni meya pale znz?
3. Kuitambulisha znz kama jiji si ndo mwanzo wa kurejeshwa kwa swali lililomshinda Pinda bungeni kuelezea status ya znz kam ni nchi au si nchi?
4. Raisi aliapa kuilinda na kuitetea katiba ya JMT, Katiba inasemaje kuhusu nafasi ya znz, inaitamka kama nchi au jiji?
5. Iwapo raia wa nchi amevunja katiba, nini hatima yake? Je rais naye kama raia wa nchi si inamstahili adhabu toshelevu kwanza kama raia na pili kwa kushindwa kukisimamia kiapo chake?

Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom