Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,828
Waswahili wanasema kuwa hata mpumbavu akikaa kimya huonekana mwenye busara, sasa kaona akae kimya angalau aonekane mwenye busara si unaona kila hotuba alizokuwa anatoa watu walikuwa wanazidc ile mbaya, sasa kwa wakati huu atatoka na hotuba gani ili wenye nchi wamuelewe, labda wahutubie kuwa juzi alipokwenda kwa Obama amemuahidi kuwa atamwongezea net zingine kwa hiyo wakae mkao wa kula