Hotuba ya Mhe. Mbowe ina ubora kuzidi hotuba zote tangu mwaka 1995!

Nimeamini kuwa kiongozi bora sio lazima ujaze vyeti vya Phd nyumbani. Uongozi ni karama wanayopewa watu wachache sana na wanajua kuitumia.

Kiongozi anaekunywa matapishi yake? huyo nae ni kiongozi au tapeli tu?
 
hahahaha nimeliona hili tangazo kumbe na wao walikua wanamwangalia EL akipata sakramenti ya meza ya ukawa kesho watakua wanabwabwaja tu najaribu kujiuliza wakiulizwa maswali na waandishi watajibu yoteee
11813325_786574324793894_6051690342943143865_n.png
 
Duh! Yaani yule fisadi mnaendelea kumpamba! Hakika CHADEMA mmechanganyikiwa
kamati ya mwakyembe ilisema kwenye mapendekezo yake kwamba wote waliohusika kwa njia moja au nyingine WAFIKISHWE MAHAKAMANI lakini wewe pamoja na MA escrow mengine mlikunja mikia yenu maficha nyuma. tangia 2008 hamkumuona kama ni fisadi . LEO baada ya kuondoka ccm ndiomnamuona fisadi? mwaka huu lazima suluali ziwashuke na mavi yenuhayo
 
Sana sana Lowassa kawatua wenzie gunia lake ngoja kwanza tuangalie wiki mbili nyimbo za CDM zitaamia wapi maana hitimisho la kukatwa kwa Lowassa ndio tamati tena what other tricks are under UKAWA sleeves, kuwalilia akina Bashe nao waende huko?

Au labda hao akina Madabida na wapambe wengine wataendelea kumpigia debe Lowassa wakiwa ndani ya CCM vinginevyo mziki unakuwa wa Mbowe kwa mtaji huo hakuna la zaidi ya habari ya mfamaji kwa Lowassa ndio kutapatapa kwa mara ya mwisho katika ulingo wa siasa.

The looser in all this is democracy baada ya CDM kubainika inabei, as my man "Juelz Santana" asked 'can you turn a wh*re into a house wife'? no, on this instance time will tell.
 
Hakika kwa kila mmoja aliyepata kushuhudia hotuba ya Mhe.Mbowe katika mkutano wa kumkaribisha aliyekuwa Waziri Mkuu wa awamu ya nne Mhe.Edward Ngoyai Lowassa ametoa hotuba bora sana. Kwa wale waliodhani kiwango cha elimu ni kipimo cha ustaarabu, hekima na uelewa basi leo Mhe.Mbowe amethibitisha kwamba anaweza. Hotuba imejaa ukweli, haja ya msamaha na mabadiliko, mwanzo mpya wa kifikra katika vichwa vya raia na mwongozo safi kwa wanachama wa CHADEMA na UKAWA. Hongera sana Kamanda Mbowe,nimekuelewa na umenifungua katika namna ya kucheza siasa. Pia nimshukuru kipekee Mhe.Lowassa kwa kunitoa wasiwasi, ameanika ukweli wake kuhusu usafi wake na namna alivyobambikiziwa kashfa ya RICHMOND. PEOPLEEEES!
Yaani upinzani kuna watu wenye uwezo mkubwa saana wa kuhutubia, I hope skills zao watazipass kwa mgombea wao, as I think he truly needs them for the speeches.
 
Back
Top Bottom