Mugabe amesimama kidete kwa ajili ya raslimali za wazimbabwe kuwanufaisha wazimbabwe huku Serikali ya CCM ikiwabeza na kuwatukana wawekezaji wazawa kwamba hawana uwezo na hawatakiwi kuwekeza kwenye gesi yao kwa kuwa mitaji yao ni ya kutosha kuuzia juisi na maandazi tu
Hotuba ya Kinana ni hotuba ya kinafiki
Anajua Mugabe amechukua hatua kuhusu madini na kutaka wazimbabwe wengi wawezeshwe kuwekeza huko badala ya wageni wakati CCM na serikali yake ikiwatukana
Msimamo wa Serikali ya ZANU-PF ni tofauti na Msimamo wa Serikali ya CCM katika maslahi ya umma