kistwangara
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 656
- 94
ndg yangu ze marcopolo, eddie na mandown hivi hamkuwahi kufikiria mambo mengne yahusuyo matatizo ya watz? mbn mnajitwisha mizigo isiyo yako?
ndg yangu ze marcopolo, eddie na mandown hivi hamkuwahi kufikiria mambo mengne yahusuyo matatizo ya watz? mbn mnajitwisha mizigo isiyo yako?
sikila kitu cha kubeza mm ni ccm damu kinacho takiwa ni kujiuliza toka lini unakua na meli hujui kilicho bebwa?kumbuka tembo wanaisha mjukuu wako atakuja kuona tembo na wanyama wengine kwenye picha na zoo.Ukitaka kujua watu wanaleta masihara kwenye maliasili za nchi kuna mzungu alikamatwa na meno ya tembo hadi leo hakuna kinachojulikana na mzungu alikua anamiliki plot bandalini usilete siasa kwenye maliasili za nchi
Msigwa katia aibu kubwa leo.
Bora angesoma tu hotuba yake kama wabunge wengine, sasa yeye kajitaaaaaaaaaaaaaaaaamba kumbe hana kitu kipya.
halafu kumbe hotuba yenyewe kaandikiwa yeye kazi yake kusoma tu, hata anavyoongea havijui!
sijakuelewa mch wa nguruwe?wa kanisani au wamwituni?
Badala ya kutetemesha ametetemeka mwenyewe,
Poor Msigwa, his days are numbered......!
Usikubali kulaghaiwa.
Msigwa ameshitakiwa ili apeleke ushahidi wa UDAKU alioongea Bungeni, lakini cha kusikitisha ni kwamba Msigwa anaomba suluhu nje ya mahakama. Huo ni ulaghai...
kiongozi vipi wabunge wanne waliotajwa na TANAPA kuwa wanausika naujagili wa tembo?narudia tena usilete siasa kwenye maliasili za nchi. tembo wanakwisha tuwe wazalendo wa nchi yetu tuache ushabiki usio na tija.
Huyu jamaa tangu abakwe na mbunge mmoja wa Arusha amekuwa na kisirani sana...
sijakuelewa mch wa nguruwe?wa kanisani au wamwituni?
Msigwa ni school drop-out unatarajia nini kutoka kwake zaidi ya mipasho na mikwara mbuzi!. Hapo ndio upeo wake ulipofikia tumsamehe bure
kiongozi vipi wabunge wanne waliotajwa na TANAPA kuwa wanausika naujagili wa tembo?narudia tena usilete siasa kwenye maliasili za nchi. tembo wanakwisha tuwe wazalendo wa nchi yetu tuache ushabiki usio na tija.
Je, unaunga mkono kesi ya Msigwa iliyofunguliwa na Kinana kufutwa?
Je, Msigwa kama anao ushahidi wa anayosema angelilia kesi ifutwe?
Wanaotumia ujangiri kama mtaji wa kisiasa ndio wanaoukuza ujangiri. Mmoja wao ni Msigwa.
Kwa mm navyo mfahamu kinana asinge kubali na warahawezi kushinda hiyo kesi kwani imeongelewa bungeni na pili kinana alimfungulia kesi tundulisu akiwa anataka kumvua ubunge akashindwa sasa kuusu msigwa kutaka yaishe hiyo si kweli kwani msigwa ndio aliye mwambia kinana wakutane maakamni jiulize swali ,gali linapo kamatwa na meno ya tembo ,gali linakatwa na mwenye gali anahusishwa na ujangili sasa kwanini kinana asi hushwe na ujangili kwa kuusika na meli yake kubeba meno ya tembo