Hotuba ya hekima aliyoitoa Mbowe kwenye sherehe za Eid

Hotuba ya hekima aliyoitoa Mbowe kwenye sherehe za Eid

Afixa0

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2015
Posts
464
Reaction score
485
Viongozi wakuu wa umoja wa katiba ya wananachi UKAWA wakiongozwa na mwenyekiti wa chama cha Democrasia na maendeleo CHADEMA Mh FREMAN MBOWE pamoja na makamu mwenyekiti wa CHADEMA Profesa SAFARI na kaimu mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF
ambaye pia ni mbunge wa bunge la Africa mashariki Mh TWALHA TASLIMA leo jioni wamehudhuria Baraza la kuu la idd
lililoamndaliwa na Taasisi za kiislam Tanzania shughuli iliyofanyika katika hotel
ya LAMADA Jijini Dar es salaam.

Katika shughuli hiyo ambayo iliambatana na dua mbalimbali pamoja na hotuba za viongozi mbalimbali pia walialikwa
wagombea urais wa vyama vyote Tanzania lakini hakuna hata mmoja aliyeweza kufika
huku mgombea wa UKAWA akiwakilishwa na Mh FREMAN MBOWE.

Mh mbowe alipata nafasi ya kutoa Hotuba fupi ambayo iliwagusa mamia ya waislam ambao walikuwa katika shughuli hiyo na
hapa nimekunukulia baadhi ya mambo ambayo mbowe aliyazungumza na kushtua
wengi.

1-Nashukuru sana kwa ukaribisho wa shughuli hi,mgombea wetu ndugu EDWARD LOWASA alitamani kuwa nasi jioni hii lakini
kutokana na ratiba ya kampeni kubana imebidi aunganishe kwenda kwenye kampeni za kesho huko manyara-- MH MBOWE.

2-Swala la mashekh ambao wapo jela bila hukumu yoyote,tulisema siku ya ufunguzi wa kampeni na tunaendelea kusema kuwa
tumewaagiza wanasheria wa chama chetu kufwatilia kwa makini na kuona nini hasa
kimetokea kwao kama kuna mahali kunahitajika msaada wa kisheria tupo tayari
kulishuhulikia hilo kwani sisi lengo letu ni kurudisha umoja na mshikamano Tanzania.

-- MH MBOWE
3-Zimebaki siku takribani 30 sasa kabla ya watanzania kufanya maamuzi halisi, ni muda
wa maamuzi ndugu watanzania. -- MH MBOWE.

4-TANESCO imefilisika na watanzania wengi hawajui hili,sasa shirika la umeme halina
hata sent na wameamua kufanya mgao wa kimya kimya lakini ukweli ni kwamba huu mgao ni mkubwa sana huko tuendako kwa
sababu hawana hela na wanaficha
ukweli,kuna mgao mkali sana sasa wa kimya kimya na utaendelea kuwa mkali kadiri siku
zinavyokwenda. -- MH MBOWE.

5-Kuna wizi mkubwa sana wa mafuta Tanzania na kuna baadhi ya watu wakubwa wanauratibu wizi huo,Tanzania ina akiba ya
mafuta hadi mwezi wa 11 lakini serikali imetoa hati ya kuingiza mafuta nchini ambapo baadhi ya wahusika ni familia ya Rais KIKWETE. -- MH MBOWE.

6-Serikali yetu ya awamu ya tano sio serikali ya visasi kama inavyodhaniwa,ila ni serikali
ya kuwarudisha watanzania pamoja kwa maridhiano,na maelewano,ila kuna watu
itabidi washughulikiwe kwa mijibu wa sheria kutokana na kuligharimu taifa hao tutafanya hivyo. -- MH MBOWE.

7-Tume ya uchaguzi ya miezi miwili iliyopita sio tume ya sasa,mwenyekiti yupo ila
watendaji wengi wameondolewa bila sababu za msingi. -- MH MBOWE.

8-Mtendaji mmoja mkuu wa tume juzi tumepata taarifa kuwa ameondolewa na kupelekwa kusikojulikana na amerudhishwa na kutakiwa kukabidhi ofisi mara moja. --MH MBOWE.

9-Tume ya sasa inaongozwa na wanajeshi na usalama wa taifa,mimi mbowe ndio nasema
kama kuna mtu anabisha waje wanikamate leo,hatuwezi kuvumiliana kiasi hiki ni
wakati wa kuwekana wazi ili watanzania wafanye jambo wanalolitaka. -- MH MBOWE.

10-Nasema hivi hatutakubai hujuma hizi ambazo zinaendelea sasa tutasema hadi mwisho. -- MH MBOWE.

11-Mwisho kabisa nasema hivi ni wajibu wetu kutafuta kura,kupiga kura na kulinda
kura hivyo ndugu zangu waislam nawaomba tushirikiane katika hili.

ASANTENI KWA KUNISIKILIZA-- MH MBOWE.
 
Mbowe, acha usanii bana ulikuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni hata siku moja hujawai kutoa kauli yeyote kuhusu hawa masheikh waliopo ndani, sasa hivi mnataka kura za Waislam mnajifanya mna mahaba na Waislam.
 
Mkuu Ritz ukimaliza kumkemea Mbowe na unachoita usanii umkemee pia na Magufuli, yey alikuwa wapi siku zote asilalamikie suala la hospital kukosa dawa mpk aanze kulalamikia kipindi hichi cha campaign, au nayeye anatafuta kura walalahoi wanaotibiwa kwenye hizo hospital?
 
UKAWA ni mpango wa MUNGU, bravo Mbowe kwa kutupa hali ya taadhari wakati tunaelekea kwenye uchaguzi
 
Mbowe, acha usanii bana ulikuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni hata siku moja hujawai kutoa kauli yeyote kuhusu hawa masheikh waliopo ndani, sasa hivi mnataka kura za Waislam mnajifanya mna mahaba na Waislam.

mkuu una courage... i wish you were smart
 
UKAWA ni mpango wa MUNGU, bravo Mbowe kwa kutupa hali ya taadhari wakati tunaelekea kwenye uchaguzi
Ee huo ulikuwa sherehe dini kweli.hotuba hiyo ni kutolewa kwa wanaharakati ambao wanatakiwa kupata Mori
 
Mbowe, acha usanii bana ulikuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni hata siku moja hujawai kutoa kauli yeyote kuhusu hawa masheikh waliopo ndani, sasa hivi mnataka kura za Waislam mnajifanya mna mahaba na Waislam.


Mwogope Mungu wako wakati wa mjadala wa Wizara ya sheria na katiba bungeni akina Mbowe...Lissu...mdee...Sakaya na wabunge wa CUF waliibana serikali vilivyo kuhusu madhila wanayotendewa masheikh wale hukuona au umefumba masikio tu?
 
mkuu una courage... i wish you were smart


Haha.. hawa watu shida sana!! Mkuu unakumbuka wakati wa mjadala wa hotuba ya bajeti wa wizara ya mambo ya ndani ni akina Mbowe... Lissu... Mnyika... Mnyaa na wabunge wengi wa UKAWA walisimama kuibana serikali juu ya madhila wanayopata masheikh huko mahabusu mpaka waziri alinywea na kukubali kushughulikia?

Amesahau Lissu na Mbowe walivyokuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya waislamu wa Zanzibar leo anajifanya kipofu!!

Leo wale wale wamegeuka nyuma kumnadi magufuli!!!
 
Hotuba makini sana ni maneno machache yenye uzito wa hali ya juu kwa watu makini.anayepinga hili jueni anamnyororo wa wizi wa ccm kama siyeye basi watuwake wakaeibu ambapo nayeye anafaidika nao.ila kwa mtu mwenye uzalendo wa moyoni na asiye na masilah binafisi na ccm ataungana na watanzania wengi kumtoa nduli ccm october
 
Mwogope Mungu wako wakati wa mjadala wa Wizara ya sheria na katiba bungeni akina Mbowe...Lissu...mdee...Sakaya na wabunge wa CUF waliibana serikali vilivyo kuhusu madhila wanayotendewa masheikh wale hukuona au umefumba masikio tu?

hawezi kuwa anaelewa kitu huyo coz ana akili za kuambiwa tuuu
 
Viongozi wakuu wa umoja wa katiba ya
wananachi UKAWA wakiongozwa na
mwenyekiti wa chama cha Democrasia na
maendeleo CHADEMA Mh FREMAN MBOWE
pamoja na makamu mwenyekiti wa
CHADEMA Profesa SAFARI na kaimu
mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF
ambaye pia ni mbunge wa bunge la Africa
mashariki Mh TWALHA TASLIMA leo jioni
wamehudhuria Baraza la kuu la idd
lililoamndaliwa na Taasisi za kiislam
Tanzania shughuli iliyofanyika katika hotel
ya LAMADA Jijini Dar es salaam.
Katika shughuli hiyo ambayo iliambatana na
dua mbalimbali pamoja na hotuba za
viongozi mbalimbali pia walialikwa
wagombea urais wa vyama vyote Tanzania
lakini hakuna hata mmoja aliyeweza kufika
huku mgombea wa UKAWA akiwakilishwa na
Mh FREMAN MBOWE.
Mh mbowe alipata nafasi ya kutoa Hotuba
fupi ambayo iliwagusa mamia ya waislam
ambao walikuwa katika shughuli hiyo na
hapa nimekunukulia baadhi ya mambo
ambayo mbowe aliyazungumza na kushtua
wengi
1-Nashukuru sana kwa ukaribisho wa
shughuli hi,mgombea wetu ndugu EDWARD
LOWASA alitamani kuwa nasi jioni hii lakini
kutokana na ratiba ya kampeni kubana
imebidi aunganishe kwenda kwenye
kampeni za kesho huko manyara-- MH
MBOWE
2-Swala la mashekh ambao wapo jela bila
hukumu yoyote,tulisema siku ya ufunguzi
wa kampeni na tunaendelea kusema kuwa
tumewaagiza wanasheria wa chama chetu
kufwatilia kwa makini na kuona nini hasa
kimetokea kwao kama kuna mahali
kunahitajika msaada wa kisheria tupo tayari
kulishuhulikia hilo kwani sisi lengo letu ni
kurudisha umoja na mshikamano Tanzania.
-- MH MBOWE
3-Zimebaki siku takribani 30 sasa kabla ya
watanzania kufanya maamuzi halisi,ni muda
wa maamuzi ndugu watanzania. -- MH
MBOWE
4-TANESCO imefilisika na watanzania wengi
hawajui hili,sasa shirika la umeme halina
hata sent na wameamua kufanya mgao wa
kimya kimya lakini ukweli ni kwamba huu
mgao ni mkubwa sana huko tuendako kwa
sababu hawana hela na wanaficha
ukweli,kuna mgao mkali sana sasa wa kimya
kimya na utaendelea kuwa mkali kadiri siku
zinavyokwenda. -- MH MBOWE
5-Kuna wizi mkubwa sana wa mafuta
Tanzania na kuna baadhi ya watu wakubwa
wanauratibu wizi huo,Tanzania ina akiba ya
mafuta hadi mwezi wa 11 lakini serikali
imetoa hati ya kuingiza mafuta nchini
ambapo baadhi ya wahusika ni familia ya
Rais KIKWETE. -- MH MBOWE
6-Serikali yetu ya awamu ya tano sio serikali
ya visasi kama inavyodhaniwa,ila ni serikali
ya kuwarudisha watanzania pamoja kwa
maridhiano,na maelewano,ila kuna watu
itabidi washughulikiwe kwa mijibu wa
sheria kutokana na kuligharimu taifa hao
tutafanya hivyo. -- MH MBOWE
7-Tume ya uchaguzi ya miezi miwili iliyopita
sio tume ya sasa,mwenyekiti yupo ila
watendaji wengi wameondolewa bila sababu
za msingi. -- MH MBOWE
8-Mtendaji mmoja mkuu wa tume juzi
tumepata taarifa kuwa ameondolewa na
kupelekwa kusikojulikana na amerudhishwa
na kutakiwa kukabidhi ofisi mara moja. --
MH MBOWE
9-Tume ya sasa inaongozwa na wanajeshi na
usalama wa taifa,mimi mbowe ndio nasema
kama kuna mtu anabisha waje wanikamate
leo,hatuwezi kuvumiliana kiasi hiki ni
wakati wa kuwekana wazi ili watanzania
wafanye jambo wanalolitaka. -- MH MBOWE
10-Nasema hivi hatutakubai hujuma hizi
ambazo zinaendelea sasa tutasema hadi
mwisho. -- MH MBOWE
11-Mwisho kabisa nasema hivi ni wajibu
wetu kutafuta kura,kupiga kura na kulinda
kura hivyo ndugu zangu waislam nawaomba
tushirikiane katika hili,ASANTENI KWA
KUNISIKILIZA-- MH MBOWE
Share

Bora Mbowe asingeenda tu!
ukiangalia maudhui ya hotuba yake ni kampeni tu! hakuna sehemu anawatakia waislam Heri ya sikukuu ya eid, hazungumzii mshikamano baina ya waumini na kuwatakia heri watanzania wote ktk sikukuu!
pia waislam zaidi ya 700 wamekufa ktk sikukuu hii ya eid huko makka na yeye haongelei lolote ktk hilo!
wakati watu wakisheherekea wewe unaleta fitina za watu kuuziwa mafuta au tume imebadilishwa mbona ni very irrelevant?
huyo ndiye kiongozi wa juu kabisa ktk chama!
no wonder wafuasi wake huku wamejaa matusi tu, vichwa maji!
 
Siasa nyepesi sana kusema utawatoa masheikh gerezani na babu seya
 
Bora Mbowe asingeenda tu!
ukiangalia maudhui ya hotuba yake ni kampeni tu! hakuna sehemu anawatakia waislam Heri ya sikukuu ya eid, hazungumzii mshikamano baina ya waumini na kuwatakia heri watanzania wote ktk sikukuu!
pia waislam zaidi ya 700 wamekufa ktk sikukuu hii ya eid huko makka na yeye haongelei lolote ktk hilo!
wakati watu wakisheherekea wewe unaleta fitina za watu kuuziwa mafuta au tume imebadilishwa mbona ni very irrelevant?
huyo ndiye kiongozi wa juu kabisa ktk chama!
no wonder wafuasi wake huku wamejaa matusi tu, vichwa maji!

Kwahiyo unampangia mtu cha kuongea?
 
Mkuu Ritz ukimaliza kumkemea Mbowe na unachoita usanii umkemee pia na Magufuli, yey alikuwa wapi siku zote asilalamikie suala la hospital kukosa dawa mpk aanze kulalamikia kipindi hichi cha campaign, au nayeye anatafuta kura walalahoi wanaotibiwa kwenye hizo hospital?
Muulize pia huyo Ritz, inakuwaje Magufuli anatoa ahadi ya kisanii kuwa ataanzisha mahakama ya mafisadi, wakati anajua kuwa tatizo la Tanzania siyo kutokuwepo mahakama zinazoshughulukia makosa ya jinai, kwakuwa mahakama hizo zipo nyingi na pia zinao pia Majaji na Mahakimu wa kutosha?

Tatizo kubwa la watawala wa TZ ni kutotaka kushughulikia makosa ya ufisadi kwa kuwa kama watafanya hivyo kwa dhati ya moyo wao maana yake ni kuwa 'wapangaji' wa magereza ya Ukonga na Segerea, more than 90% watakuwa wao!
 
Back
Top Bottom