hewizet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 2,521
- 1,671
Bora Mbowe asingeenda tu!
ukiangalia maudhui ya hotuba yake ni kampeni tu! hakuna sehemu anawatakia waislam Heri ya sikukuu ya eid, hazungumzii mshikamano baina ya waumini na kuwatakia heri watanzania wote ktk sikukuu!
pia waislam zaidi ya 700 wamekufa ktk sikukuu hii ya eid huko makka na yeye haongelei lolote ktk hilo!
wakati watu wakisheherekea wewe unaleta fitina za watu kuuziwa mafuta au tume imebadilishwa mbona ni very irrelevant?
huyo ndiye kiongozi wa juu kabisa ktk chama!
no wonder wafuasi wake huku wamejaa matusi tu, vichwa maji!
nenda kasome tena bandiko utakutana na maneno yasemayo "nmekunukulia baadhi ya ......."
punguza midadi.