mwananganya
New Member
- Feb 5, 2011
- 2
- 0
Nawapa pole sana wahanga wote wa maafa yaliyotokea gongo la mboto
thank you for this post( mwandishi).
nasikitishwa sana na jinsi binaadamu tulivyoamua kuwa wanyama tunapoamua kutumia nafasi za maafa kama hivi kuongeza majeraha kwa waathirika wa mabomu, hapa naongelea vibaka waliovamia mali za watu.
thank you for this post( mwandishi).
nasikitishwa sana na jinsi binaadamu tulivyoamua kuwa wanyama tunapoamua kutumia nafasi za maafa kama hivi kuongeza majeraha kwa waathirika wa mabomu, hapa naongelea vibaka waliovamia mali za watu.