Nyerere, Baba wa taifa anahutubia waandishi wa Habari kwenye kipindi cha hotuba maridhawa Sibuka TV, anazungumzia mambo mengi muhimu ambayo leo yanalisumbua Taifa. Wanasema kipindi kitarudiwa kesho saa saba. Anazungumzia udini, ukabila, role of private sector in our nation economy na ushindani wa kibiashara.