Wale ambao mmesikiliza hotuba mbalimbali kuanzia mapambano ya uhuru hadi leo, kama kuna hotuba yoyote ambayo unafahamu ilileta mabadiliko ya kisiasa ama kijamii tuwekee hapa.
Hotuba ambazo ziliwakugusa wananchi, viongozi ama uhalisia wa mambo. Hotuba ambazo bila hata sisi kujua zimejikita katika maongezi yetu ya kila siku kwa namna moja ama nyingine, wakati mwinginge tunatumia fikira zilizopo kwenye hotuba hizo kama nyezo za shughuli zetu.
Katika hotuba hizo naimani kunamafunzo na hamasa tunazoweza kupata kukabiliana na mazingira yetu ya leo. Unauhuru wa kuandika umuhimu wa hotuba hiyo ukipenda
Ombi: Kwa wale ambao hatuba hizo zinaweza kupatikana kwenye mtandao, tafadhali tuwekee link na maelezo mafupi kwanini unadhani hotuba hiyo ni muhimu sana.
HOTUBA MAARUFU
1. Mwalimu Nyerere
2. Horace Kolimba - (??)
WACHANGIAJI KATIKA HOTUBA ZA MWALIMU
1. Bw. Andrew Daraja
2.
WACHANGIAJI WENGINE KATIKA UANDISHI WA NYERERE
1. Bw. Benjamini Mkapa
2. Mzee. Bukuku
Hotuba ambazo ziliwakugusa wananchi, viongozi ama uhalisia wa mambo. Hotuba ambazo bila hata sisi kujua zimejikita katika maongezi yetu ya kila siku kwa namna moja ama nyingine, wakati mwinginge tunatumia fikira zilizopo kwenye hotuba hizo kama nyezo za shughuli zetu.
Katika hotuba hizo naimani kunamafunzo na hamasa tunazoweza kupata kukabiliana na mazingira yetu ya leo. Unauhuru wa kuandika umuhimu wa hotuba hiyo ukipenda
Ombi: Kwa wale ambao hatuba hizo zinaweza kupatikana kwenye mtandao, tafadhali tuwekee link na maelezo mafupi kwanini unadhani hotuba hiyo ni muhimu sana.
HOTUBA MAARUFU
1. Mwalimu Nyerere
2. Horace Kolimba - (??)
WACHANGIAJI KATIKA HOTUBA ZA MWALIMU
1. Bw. Andrew Daraja
2.
WACHANGIAJI WENGINE KATIKA UANDISHI WA NYERERE
1. Bw. Benjamini Mkapa
2. Mzee. Bukuku
Last edited: