Kuna watu hata huko kijani wapo na akili hizi,ila wananyimwa airtime maana sio mpango wa chama watu kutumia akili zao.Hizo Nondo anazo toa kichwani ni balaa, hicho kingereza hakuna hapa Tanzania kiongozi wa chama cha KIJANI anaweza ongea aisee.
Kuna nchi ndogo ndogo Africa viongozi wake wana akili kweli kweli yani, sisi sijui tume laaniwav vipi yani.
Wazungu gani papai wewe??sisi tuliposema magu amefanyiwa fitna unatikisa makalio kwamba alikuwa dhalimu ndio sababu amefafiki.Mzungu huwa habagazwi waziwazi namna hii , huyu rais kaanza kwa mihemko. Alipaswa kuwaminya kimya kimya.
Senegal haiko huru kiuchumi, bidhaa nyingi sana zinatoka kwa hao wazungu ikiwa ni pamoja na France.
Kwa hotuba hii kali dhidi ya France tayari huyu rais anaandaa anguko lake ama kifo chake. Wazungu siyo wa mchezo mchezo.
Watamtafuta kwa msosi, kwa tiba, kwa mtutu, kwa sumu, kwa kutumia marafiki zake, nguo zake, gari lake, n.k. Nina hakika hatatoboa.
Jiwe kafa kwa udhalimu wake. Alikuwa anateka, anafilisi, anapora Mali, anaua na kuwabagaza watu wa nchini kwake. Mtu kama huyu ilikuwa ni lazima Mungu amuondoe duniani.Wazungu gani papai wewe??sisi tuliposema magu amefanyiwa fitna unatikisa makalio kwamba alikuwa dhalimu ndio sababu amefafiki.
Nyie mapapai ndio chanzo cha anguko la africa,mnatukwamisha sana.
Nawewe tukikuzika sasa hivi itakuwa ni kwa ajili ya kutoa utamu kwa wanaume wenzako??hiyo ni dhambi pia.Jiwe kafa kwa udhalimu wake. Alikuwa anateka, anafilisi, anapora Mali, anaua na kuwabagaza watu wa nchini kwake. Mtu kama huyu ilikuwa ni lazima Mungu amuondoe duniani.
ila mtani jana ulimnanga huyuSafi sana, hii ndio Afrika mpya.
UmepanikiNawewe tukikuzika sasa hivi itakuwa ni kwa ajili ya kutoa utamu kwa wanaume wenzako??hiyo ni dhambi pia.
Ndio ujue haikuwa personal, akifanya vizuri nampongeza kama hivi.ila mtani jana ulimnanga huyu
Huku ni maubabee tu kutwishana KIKOKOTO!!!Hizo Nondo anazo toa kichwani ni balaa, hicho kingereza hakuna hapa Tanzania kiongozi wa chama cha KIJANI anaweza ongea aisee.
Kuna nchi ndogo ndogo Africa viongozi wake wana akili kweli kweli yani, sisi sijui tume laaniwav vipi yani.
Ramli chonganish, acha imani potofu kijana wangu badala yake tumwombee kijana wetu atoboe.Mzungu huwa habagazwi waziwazi namna hii , huyu rais kaanza kwa mihemko. Alipaswa kuwaminya kimya kimya.
Senegal haiko huru kiuchumi, bidhaa nyingi sana zinatoka kwa hao wazungu ikiwa ni pamoja na France.
Kwa hotuba hii kali dhidi ya France tayari huyu rais anaandaa anguko lake ama kifo chake. Wazungu siyo wa mchezo mchezo.
Watamtafuta kwa msosi, kwa tiba, kwa mtutu, kwa sumu, kwa kutumia marafiki zake, nguo zake, gari lake, n.k. Nina hakika hatatoboa.