nafuatilia sana, BBC, VOA na SKY NEWS, sioni popote anapotajwa huyu mume mwenzake na Mahimbo kuwa yuko huko.
Hivi JAKAYA KIKWETE ALISHAWAHI KUUTUBIA CHUO KIKUU CHOCHOTE DUNIANI? Ni swali tu...
Huyu babu naona anachanganyikiwa. yeye kama anaona misaada ya nje haisaidii, mbona anawategemea KAS, CDU na vibaraka wengine kufadhili harakati za chama chake? kama anashindwa kujitegemea ndani ya chama ambako kuna mahitaji machache, ataweza
kujitegemea kwenye taifa ambako kila kona anakabwa koo? aache propaganda za uzushi, uongo, unafiki na uzandiki
hata za machizi haijawahi kutokea...
Huyu babu naona anachanganyikiwa. yeye kama anaona misaada ya nje haisaidii, mbona anawategemea KAS, CDU na vibaraka wengine kufadhili harakati za chama chake? kama anashindwa kujitegemea ndani ya chama ambako kuna mahitaji machache, ataweza kujitegemea kwenye taifa ambako kila kona anakabwa koo? aache propaganda za uzushi, uongo, unafiki na uzandiki
Well said mkuu, huyu babu anazeeka vibaya, kaenda honeymoon kijanja na mke aliempora Mahimbo ambae hadi leo analia kwa alichofanyiwa na hiki kizee. Mbaya zaidi anaponda misaada wakati kaenda kujikomba kwa wazungu, sidhani hata hotel anazolala analipiwa na CDM....akirudi bongo kazi kuzunguka kifalme na helkopta huku akichangisha walalahoi eti kwa slogan ya kusaidia chama wakati kumbe wanasaidiwa wachache....jaman Watanganyika tufunguke na tuwe macho na wazee wanaobana nafasi za vijana wenzetu kina Zito Kambwe
hivi , inakuaje hotuba anatoa marekani, kuripoti mnaripoti JF, huko hakuna media?