Hotuba Kali ya DR SLAA nchini Marekani

Hotuba Kali ya DR SLAA nchini Marekani

Hivi anamtambulishaje MSHUMBUZI huko? isije ikawa wazungu wanauziwa mbuzi kwenye gunia kuwa ni mke wake.

MKUU, Dr Slaa hatofautiani na mtu anayeagiza CHIPS DUME halafu akalazimisha ichanganyiwe na mayai
 
kwanza lini slaa akatoa hotuba kali vitu vingine vya uongo wa wazi kabisa make hotuba za slaa ni full matusi na malalamiko tu ambayo hata ukimwambia apendekeze suruhu hawezi.
 
Nategemea kusikia viongozi wa CHADEMA wakiungana na Katibu Mkuu wao kuweka mikakati ya kutekeleza hicho kipaumbele. Tatizo kubwa ninaloliona ni hizo elimu za viongozi wao. Mwenyekiti kasoma kimagumashi na hata elimu yake haieleweki. kama ni kidato cha nne au darasa la saba. Katibu Mkuu kasomea Theology. viongozi wengine hata taaluma zao hazieleweki. Kidogo Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe anaweza kulitetea hilo
 
most foreign aid in africa end up in the pockets of corrupt rulers - DR SLAA .
 
Slaa atueleze kuhusu matumizi mabaya ya ruuku ya chama inayotokana na kodi zetu
 
kwanza lini slaa akatoa hotuba kali vitu vingine vya uongo wa wazi kabisa make hotuba za slaa ni full matusi na malalamiko tu ambayo hata ukimwambia apendekeze suruhu hawezi.

hivi bado jf kuna mbumbumbu wa aina hii !
 
Mleta mada ni yule mhuni aliyefukuzwa DIT

kwa hiyo wewe unaona hatari kufukuzwa chuo kwa kutetea haki za watu? mimi nilifukuzwa na wala sio mara 1 au 2 lakini mara zote mahakama ilinirudisha ndani ya siku 3...na sitoacha kutetea maslahi ya wananchi kwa kuwaogopi mbumbumbu kama wewe>>> hiyo hoja hapo inahusiana nini na kufukuzwa DIT?
 
nategemea kusikia viongozi wa chadema wakiungana na katibu mkuu wao kuweka mikakati ya kutekeleza hicho kipaumbele. Tatizo kubwa ninaloliona ni hizo elimu za viongozi wao. Mwenyekiti kasoma kimagumashi na hata elimu yake haieleweki. Kama ni kidato cha nne au darasa la saba. Katibu mkuu kasomea theology. Viongozi wengine hata taaluma zao hazieleweki. Kidogo naibu katibu mkuu, zitto kabwe anaweza kulitetea hilo

mmeshikwa sehemu ambayo watoto hawaruhusiwi kushika , huyo ndiye slaa baba ! Hivi unafahamu kwamba mulugo alipora jina la mtu na hivi sasa anaongoza elimu ? Mngoni gani mburula namna hii ?
 
MKUU, Dr Slaa hatofautiani na mtu anayeagiza CHIPS DUME halafu akalazimisha ichanganyiwe na mayai
haya yote ni maigizo ya pwagu na pwaguzi, nyuzi zote juu ya babu yetu au kijana wa zamani ni propaganda za humu ndani kufurahisha kijiwe. mleta mada kakaa pembeni na chupa yake ya chimpumu katulia. Dr Slaa hana jipya, ata Lipumba mzee wa single anamzidi kisiasa. chadema kwishineee
 
Nategemea kusikia viongozi wa CHADEMA wakiungana na Katibu Mkuu wao kuweka mikakati ya kutekeleza hicho kipaumbele. Tatizo kubwa ninaloliona ni hizo elimu za viongozi wao. Mwenyekiti kasoma kimagumashi na hata elimu yake haieleweki. kama ni kidato cha nne au darasa la saba. Katibu Mkuu kasomea Theology. viongozi wengine hata taaluma zao hazieleweki. Kidogo Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe anaweza kulitetea hilo
umesahau wengine Mnyika form VI, Sugu darasa la 3C, Wenje 4B, Msigwa form IV failule, na wengine wengi, kwa mshangao na haoni mawaziri Vivuri
 
Back
Top Bottom