Hotuba anazosoma Rais Awekewe Teleprompter

Hotuba anazosoma Rais Awekewe Teleprompter

Wakuu nimeangalia hotuba kadhaa anasoma mkuu Rais huwa anatumia makaratasi na Kutumia muda mwingi akiinama technology imechange kwa sasa kuna kifaa kinatumika kinaitwa Teleprompter ni kifaa kinachomfanya mtu ahutubie au asome kitu bila kupoteza attention ya kuwatazama Audience yaani hadhira,

Nashauri Team ya Tech inayotembea na mkuu waandae Teleprompter ili kuleta ufanisi mambo ya kuweka karatasi kwenye podium yawe mara chache kama hotuba sio tu Inahitaji asilimia kubwa kusoma!
Na mamikono yake yale anayorusha rusha si ataipiga idondoke chini? Na lile povu la mdomo si atachafua screen?
 
Anayoandikiwa kwenye karatasi wakati mwingine hasomi na akisoma hutupia maneno yake ambayo wakati mwingine yanautata. Hicho kifaa kinaweza kisisaidie
hahahhahhahahah
 
Mchungaj wangu tuu wa kanisan ndio huwa ana tumia hiki kifaa kuhubiri.
 
Watu walivyowashamba, akisoma kwa kutumia prompter watasema anahutubia bila kusoma popote.

Nakumbuka washamba wa humu JF walivyokuwa wanammiminia sifa Obama kuwa ni 'kichwa' kisa eti anatoaga [viranja wa sarufi tulieni] hotuba bila kusoma.

Licha ya vioo vya prompter kuwa mbele na kuonekana wazi, washamba hawa bado waling'ang'ania huo ujinga [maana halisi ya neno ujinga] wao.

Kwa hiyo, washamba hawa hata ukiwawekea prompter mbele yao hawatojua ni kitu gani hicho.

Ushamba ni mzigo!!!
Kuwasema watu kuwa washamba hakupunguzi ushamba wako
 
Asante mkuu, naona kuna maandishi chini na juu, hapo yanatumikaje
Mkuu hayo maandishi ndio Mlengwa anatumia kusoma na anakuwa hapotezi concentration na Hadhira na kamera unaeeza kufikiri anatoa kichwani
 
Mkuu hayo maandishi ndio Mlengwa anatumia kusoma na anakuwa hapotezi concentration na Hadhira na kamera unaeeza kufikiri anatoa kichwani


Asante sana Mkuu, yamenitatiza kuona yamekaa kinyme sijaelewa usomaji wake
 
Asante sana Mkuu, yamenitatiza kuona yamekaa kinyme sijaelewa usomaji wake
Hapo chini ndo pana mtambo unochakata hayo maandishi na hapo juu ni kioo tu kinacho akisi maneno yanayotokea chini kwenye kiinjiji ni kama muundo wa overhead projector.
 
Back
Top Bottom