Hotspot katika mtandao wa halotel

Hawa halotel bhana wezi dizaini flani. Nikunga bandle la tigo au voda natumia vizuri hata week kwa GB1. Ila halotel ni siku tatu au nne kwenye simu inaisha.

Najiuliza ni matumizi gani yanayokuwa tofauti tu nikiwa na haloteli? Au hii ni Dar tu?

Acheni wizi nyie Halotel... ***
Mkuu nenda mobile data angalia data tracking.
Utakuta total data ulizotumia na zimetikaje.
Ukitaka kujua ni wezi ama si wezi clear kila kitu unga bando alafu truck utaelewa kwamba wao hawahusiki kuisha kwa data zako
 
Niuzieni hizo iphone tu jamani haxifai kabisa
Uzeni bei ya hasara mnunue tecno ndo nzuri...
Just kidding em jaribuni kufanya yafuatayo
[quote uid=33783 name="bface" post=15063173]Sio cm bwana mbona line zngine inakuwepo except halotel[/QUOTE]<br />Sikia fanya hivi connect kompyuta yako na internet hapa sasa utatumia hata sim ya rafiki. <br />Fungua itune alafu connect iPhone yako ikiwa na line ya halotel ndani. <br />Utaletewa popup ndani ya itune inakuambua setting update kama sikosei update ni kafail kadogo sana from there yua done.
 
Tatizo hapo ni settings katika simu na wala msiwalaumu halotel. Kama mnatumia iOs 9.3.2


1-Fungua Setting
2-Cellular
3- Cellular Data Options
3- Cellular Data Network
Pale kwenye Personal Hotspot jaza APN kuwa 'b_internet' kisha rudi mpaka menu kuu utaiona option ya Personal Hotspot.
That's all
It works santee sana halotel wakulipe kwa hili umewwsaidia kupata mteja mida hii nimejiunga na kifurushi nilishatupilia mbali line
 
Nimejaribu halotel na ni kweli speed yao iko vizuri sanaaa, kwa hilo wanastahili pongezi. Ila bado sijaelewa inakuaje MB kuisha kwa kasi sana tangu nianze kutumia halotel. Natumia line ya chuo na imetokea mara 3 GB 1 kuisha ndani ya masaa 16, kitu ambacho sio cha kawaida wakati matumizi ni ya kawaida sana, yani ku-browse, whatsapp, fb, jf na instagram tu. siku ya kwanza nkachkulia poa, kesho yake ikajirudia tena na siku iliyofuata tena. Nkaona huu utoto, nkarudi tigo juzi. Waangalie hilo kiukweli
 
Hawa halotel bhana wezi dizaini flani. Nikunga bandle la tigo au voda natumia vizuri hata week kwa GB1. Ila halotel ni siku tatu au nne kwenye simu inaisha.

Najiuliza ni matumizi gani yanayokuwa tofauti tu nikiwa na haloteli? Au hii ni Dar tu?

Acheni wizi nyie Halotel... ***
Tatizo iko fasta sana, kwahvo ukiweka uki browse data zinatumika sanaa
 
Hawa halotel bhana wezi dizaini flani. Nikunga bandle la tigo au voda natumia vizuri hata week kwa GB1. Ila halotel ni siku tatu au nne kwenye simu inaisha.

Najiuliza ni matumizi gani yanayokuwa tofauti tu nikiwa na haloteli? Au hii ni Dar tu?

Acheni wizi nyie Halotel... ***
Kasi utofautiana
 
Wadau hivi simu yangu ndo setting haziko poa au coz nikiweka line ya halotel sipati hotspot ili kuweza kutumia net ya simu kwenye laptop, sijajua tatizo ni nini ila natumia iphone 5 au kwa iphone haikubali? Yeyote mwenye experience na hii kitu
Mbona kwangu nina access kabisa tena kwa kasi ya jabu, vipi umecheki password au haipati kabisa simu yako
 
Nimejaribu halotel na ni kweli speed yao iko vizuri sanaaa, kwa hilo wanastahili pongezi. Ila bado sijaelewa inakuaje MB kuisha kwa kasi sana tangu nianze kutumia halotel. Natumia line ya chuo na imetokea mara 3 GB 1 kuisha ndani ya masaa 16, kitu ambacho sio cha kawaida wakati matumizi ni ya kawaida sana, yani ku-browse, whatsapp, fb, jf na instagram tu. siku ya kwanza nkachkulia poa, kesho yake ikajirudia tena na siku iliyofuata tena. Nkaona huu utoto, nkarudi tigo juzi. Waangalie hilo kiukweli
Hao tigo ni mwendo wa Kobe, ndo maana bando lao haliishi haraka
 
Back
Top Bottom