adrian anafanya poa sana jamani, watangazaji wengi huwa wanafelishwa na aina ya mahojiano wanayo fanya ila kijana huyu yuko juu sana...Natamani apewe nafasi ya kumtwanga maswali Rais JK hapo mtakubali... hoja, sera na makashfa yote ya nchi hii inayajua hyu dogo sipati picha Big up Adtian