Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,553
Tupia picha
Picha ipo #58Tupia picha
Kwanini wote wanaenda usikuParrot Hotel ni ya Gray Mgonja, hotel ya Shana Boy ni ''Arusha Royal Court'' ile ndogo iliyopo Sakina na sshv imechoka inahitaji marekebisho.
Jina lake ni Abdallah Mshana.
Pia ana nyumba nyingi za kupanga kule Da es salaam street- Moshi na nyumba yake ya kulala ipo Kisongo na barabara ya KCMC pia
Naifahamu hiyo familia ya Abdallah Mshana vizuri, watoto wake ni Rajabu, Hassan & Hussein (Mapacha), Warda, wote wamesoma Nairobi, Kenya kasoro Rajabu
Zaidi mshkaji wangu ndiye aliyeweka AC kwny vyumba vya Parrot hotel na wakati wa usiku Mmiliki alikuwa anaenda kuangalia ujenzi.
Mgonja hataki ifahamike kuwa ni yake, aliyewekwa pale kuzuga ni Abdallah Mshana (Shana boy)Kwanini wote wanaenda usiku
We jamaa ni mkuda balaa. Unapenda sana matajiri waishi kama mashetani teh teh tehParrot Hotel ni ya Gray Mgonja, hotel ya Shana Boy ni ''Arusha Royal Court'' ile ndogo iliyopo Sakina na sshv imechoka inahitaji marekebisho.
Jina lake ni Abdallah Mshana.
Pia ana nyumba nyingi za kupanga kule Da es salaam street- Moshi na nyumba yake ya kulala ipo Kisongo na barabara ya KCMC pia
Naifahamu hiyo familia ya Abdallah Mshana vizuri, watoto wake ni Rajabu, Hassan & Hussein (Mapacha), Warda, wote wamesoma Nairobi, Kenya kasoro Rajabu
Zaidi mshkaji wangu ndiye aliyeweka AC kwny vyumba vya Parrot hotel na wakati wa usiku Mmiliki alikuwa anaenda kuangalia ujenzi.
Ok hiyo Arusha Royal Court si ile ipo karibia na Silent inn pale sakina.Parrot Hotel ni ya Gray Mgonja, hotel ya Shana Boy ni ''Arusha Royal Court'' ile ndogo iliyopo Sakina na sshv imechoka inahitaji marekebisho.
Jina lake ni Abdallah Mshana.
Pia ana nyumba nyingi za kupanga kule Da es salaam street- Moshi na nyumba yake ya kulala ipo Kisongo na barabara ya KCMC pia
Naifahamu hiyo familia ya Abdallah Mshana vizuri, watoto wake ni Rajabu, Hassan & Hussein (Mapacha), Warda, wote wamesoma Nairobi, Kenya kasoro Rajabu
Zaidi mshkaji wangu ndiye aliyeweka AC kwny vyumba vya Parrot hotel na wakati wa usiku Mmiliki alikuwa anaenda kuangalia ujenzi.
Yeap, hiyo ndio ya Shana boy bila shaka yoyote.Ok hiyo Arusha Royal Court si ile ipo karibia na Silent inn pale sakina.
Upande wa pili kuna hoteli nyingine ambayo haijamaliziwa nayo wanasema ipo ndani ya hifadhi ya barabara??
Hapana Mkuu, mbona sijaharibu popote?We jamaa ni mkuda balaa. Unapenda sana matajiri waishi kama mashetani teh teh teh
Muacheni jamaa amalizie Hotel atoe ajira.
Sawa sawa mkuu, kitambo Sana maeneo hayo sijafika, naamini hata hiyo iliyopo ndani ya hifadhi ya barabara hawajaimalizia nayo.Yeap, hiyo ndio ya Shana boy bila shaka yoyote.
Unasemea ya Mathias Manga iliyopo upande wa chini?Sawa sawa mkuu, kitambo Sana maeneo hayo sijafika, naamini hata hiyo iliyopo ndani ya hifadhi ya barabara hawajaimalizia nayo.
Ndio .Unasemea ya Mathias Manga iliyopo upande wa chini?
Hivi mzee Mgala mwenye Blue Rock House yuko wapi siku hizi sijamsikia kitambo.Unasemea ya Mathias Manga iliyopo upande wa chini?
Bado haijakamilika at 100%, kuna kipindi alisimamisha kwnz kufuatia agizo la serikali juu ya ubomoaji wa majengo yaliyo karibu na mtoNdio .
Sijamsikia muda piaHivi mzee Mgala mwenye Blue Rock House yuko wapi siku hizi sijamsikia kitambo.
Hawa watu wa mazingira sijui wanakwama wapi!Bado haijakamilika at 100%, kuna kipindi alisimamisha kwnz kufuatia agizo la serikali juu ya ubomoaji wa majengo yaliyo karibu na mto
Sina uhakika sana kwa jengo zima ila wooden stuffs zote yaani samani za Parrot za mbao yaani kabati za ukutani, vitanda, shelves na tables mwaka 2014 budget ilikuwa Bil 5 kwa vyumba vyote, Mbao MningaMkuu samahan. Kwa uzoefu wako jengo kama hili thamani yake shilingi ngapi?
Kwahiyo pale pana fanicha za 5b na jengo halitumiki!!Sina uhakika sana kwa jengo zima ila wooden stuffs zote yaani samani za Parrot za mbao yaani kabati za ukutani, shelves na tables mwaka 2014 budget ilikuwa Bil 5 kwa vyumba vyote, Mbao Mninga
Gharama kubwa kwny ile hotel ilikuwa ni kwny setting ya swimming pool ambayo Ipo ghorofa ya 3
I was not a Valuer though,
Ndio, furniture zilikuwa zinawekwa sambamba na AC, na budget ilikuwa hiyo walianza kuweka 2013 nikiwepo pale na RajabKwahiyo pale pana fanicha za 5b na jengo halitumiki!!
Viongozi wetu watoke nje ya boksi,wajiongeze kwakweli.