Hoteli ya Mediterraneo yatajwa kuwa kitovu cha matumizi ya 'unga' Dar es Salaam

Zurie

JF-Expert Member
Jul 6, 2014
2,012
5,571
Katika press conference ya Makonda na Kamanda Sirro, Mkuu wa Mkoa wa Dar ameitaja hoteli ya Mediterraneo iliyopo katika ufukwe wa bahari ya Hindi maeneo ya Kawe kuwa kitovu cha biashara haramu ya madawa ya kulevya na kuongeza kuwa bwawa la kuogelea lililopo kwenye hoteli hiyo ndio hasaaa sehemu mahususi ambapo watu hutumia mihadarati hiyo.

Sunrise (900 x 600).jpg


Ameongezea kuwa kuna vyumba kadhaa kwenye hoteli hiyo vinavyotumiwa kwa shughuli hizo haramu na kumtaja mmiliki wake kwa jina la Samantha.

Samantha ni mtalaka wa mwanadada aliyeshiriki shindano la Big Brother akiiwakilisha South Africa, Abby Plaatjes na inasemekana ndio mmiliki wa hoteli hiyo maarufu. Pia mwanadada Abby Plaatjes yuko karibu na wasanii wengi sana na inasemekana anawaingiza kwenye matumizi ya madawa.
 
Katika press conference ya Makonda na Kamanda Sirro, Mkuu wa Mkoa wa Dar ameitaja hoteli ya Mediterraneo iliyopo katika ufukwe wa bahari ya Hindi maeneo ya Kawe kuwa kitovu cha biashara haramu ya madawa ya kulevya na kuongeza kuwa bwawa la kuogelea lililopo kwenye hoteli hiyo ndio hasaaa sehemu mahususi ambapo watu hutumia mihadarati hiyo.

View attachment 466803

Ameongezea kuwa kuna vyumba kadhaa kwenye hoteli hiyo vinavyotumiwa kwa shughuli hizo haramu na kumtaja mmiliki wake kwa jina la Samantha.

Samantha ni mtalaka wa mwanadada aliyeshiriki shindano la Big Brother akiiwakilisha South Africa, Abby Plaatjes na inasemekana ndio mmiliki wa hoteli hiyo maarufu. Pia mwanadada Abby Plaatjes yuko karibu na wasanii wengi sana na inasemekana anawaingiza kwenye matumizi ya madawa.
Hivi Samantha si jina la kike?
Au nimechanganyikiwa mimi?
 
hii vita badala ya kufanyika kwa intelijensia na ukusanyaji wa ushahidi ili kufunikisha sheria kuchukua mkondo wake ..... badala yake inafanyika kishabiki zaidi na kibaya media inatumika .... huwezi kupats ushahidi kwa kupayuka kwenye media

yangu macho
 
Katika press conference ya Makonda na Kamanda Sirro, Mkuu wa Mkoa wa Dar ameitaja hoteli ya Mediterraneo iliyopo katika ufukwe wa bahari ya Hindi maeneo ya Kawe kuwa kitovu cha biashara haramu ya madawa ya kulevya na kuongeza kuwa bwawa la kuogelea lililopo kwenye hoteli hiyo ndio hasaaa sehemu mahususi ambapo watu hutumia mihadarati hiyo.

View attachment 466803

Ameongezea kuwa kuna vyumba kadhaa kwenye hoteli hiyo vinavyotumiwa kwa shughuli hizo haramu na kumtaja mmiliki wake kwa jina la Samantha.

Samantha ni mtalaka wa mwanadada aliyeshiriki shindano la Big Brother akiiwakilisha South Africa, Abby Plaatjes na inasemekana ndio mmiliki wa hoteli hiyo maarufu. Pia mwanadada Abby Plaatjes yuko karibu na wasanii wengi sana na inasemekana anawaingiza kwenye matumizi ya madawa.
Aiseeee
 
KWAIO ILE HALI YA CHID BENZ ANAWEZA KU,AFFORD KUTINGIA ENEO KAMA HILO?KAMA SIO SIASA NA KICK HZOOOOOOO
Jiongeze mkuu, Sio kila mtumiani anaweza kwenda hapo ila kuna wale wanaoweza ku afford ndio wanapatumia hapo. Mateja pale Kinondoni si unawaona muda mwingi wapo high, ina maana wanajidunga maeneo yao hapo.
 
Nadhani nia ya mh Makonda ni nzuri tu. Yaani kuwaambia, msiweke hadharani saana, ficheni kidogo. Faida za kuficha; Kitu inakuwa adim kwani ilishafikia hadharani mno. Pili, bei juu au kule kwetutwasema; Bwejuu. Kitu imekuwa adimu.
Tatu, ni kulisafisha lile jeshi letu pendwa. Pamoja na ma alawensi yote bado hamshibi?? Mtanyang'anywa hizo mlizoingiziwa kwa tigo halaf tuwagawie wadogo zenu mshike adab. Viva Makonda.
 
Samantha ni mtalaka wa mwanadada aliyeshiriki shindano la Big Brother akiiwakilisha South Africa, Abby Plaatjes na inasemekana ndio mmiliki wa hoteli hiyo maarufu. Pia mwanadada Abby Plaatjes yuko karibu na wasanii wengi sana na inasemekana anawaingiza kwenye matumizi ya madawa.

sijaelewa hapo
 
Back
Top Bottom