Hoteli ya bilionea Mrema yapigwa mnada, sasa kuvunjwa

Unachosema upo sahihi sema daah tuna mitihani sana...
Acha tu ukiwa tajiri ukitaka kuwalea watoto wako vizuri hakikisha hawajui una hela ya kuchezea. Ukianza kuruka kuruka unaharibu malezi. Maana watoto wakibalehe wanajua mzee ana hela mpaka anahonga gari na nyumba kwanini nisome?

Hapa kama mke na Hawara zako wote wana taaluma zao na kazi zao inapunguza matatizo kwa kiasi chake. Lakini kama wote wanakutegemea kila kitu kwa asilimia 100 inakuwa shida. Simlaumu marehemu maisha ni kitendawili? Lakini hili swala linatafuna matajiri wengi sana Tanzania. Kuamini kubwa pesa inasuluhisha kila kitu. Pesa ikikuzidi akili inalemaza watoto na ndugu zako.
 
kwamba watoto kumi wa tumbo moja wasinge uza

kwamba angezaa watoto wawili tumbo moja wasinge uza

kuuza n akili za hovyo za wahusika haihusiani na kuzaa hovyo
Inahusiana na kuzaa ovyo ndugu tafuta biashara zinazodumu kwa karne na karne. Tembea hadi Japan kuna migahawa ina zaidi ya miaka 500 inaendeshwa na familia moja. Hakuna huo upumbavu wa kuzaa ovyo. Ukiwa na hela mbaTo unavyotaka lakini thamini mbegu zako. Sio kila shamba unapanda mbegu.
 
Kuna documentary moja niliisoma ,huko japan kuna nyumba ina zaidi ya miaka 800 ni lama kasri vile .

Vizazi na vizazi wanaishi hapo ,kuna chuo cha mafunzo ya mapigano kama Taekwondo hapo hapo ,wanafundisha watu then wanapiga pesa
Inahusiana na kuzaa ovyo ndugu tafuta biashara zinazodumu kwa karne na karne. Tembea hadi Japan kuna migahawa ina zaidi ya miaka 500 inaendeshwa na familia moja. Hakuna huo upumbavu wa kuzaa ovyo. Ukiwa na hela mbaTo unavyotaka lakini thamini mbegu zako. Sio kila shamba unapanda mbegu.
 
Kuna documentary moja niliisoma ,huko japan kuna nyumba ina zaidi ya miaka 800 ni lama kasri vile .

Vizazi na vizazi wanaishi hapo ,kuna chuo cha mafunzo ya mapigano kama Taekwondo hapo hapo ,wanafundisha watu then wanapiga pesa
Sisi tumevunja majengo mengi ya kale ambayo yalifaa kuwa kitega uchumi cha nchi, aisee mipango yetu ndivyo hivyo tena kushiba kwanza utaifa kwenye makalabrasha
 
ila dunia bana.... baadae utajaskia Watoto wa Shabiby wanauza wanagawana Mabasi... Hotels... mara wanauza...
 
Watanzania hatujui kabisa kushika Utajiri na kuuusukuma mbele na kurithisha Vizazi unaona Mrema kafa kila kitu kwisha..Watoto wengi wa Matajiri huwa wajinga sana sijui kwanini lakini Wahindi huandaa watoto smart na kuwaachia Mali.
Subash Kwa mfano alikufa mtoto akashika mali mambo yanaenda..Mengi alipokufa mnona maji ya Kilimanjaro siku hizi yameachwa nyuma hata na Dew Drop na Hill kampuni za juzi tu...

Sisi Ngozi hii shidaa shidaaa..
 
Kwanini jengo livunjwe? Kuna ulazima gani wa kuvunja jengo kama hilo?

Kama ni kujenga hoteli nyingine, kwanini wasitafute kiwanja sehemu nyingine?
Unafikiri ukichwa maji wa walioko serikalini ni wa bahati mbaya? WaTz kwa asilimia kubwa tuna maamuzi ya hovyo!
 
Back
Top Bottom