Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,738
- 15,211
Hoteli maarufu ya Impala ya jijini Arusha iliyokuwa inamilikiwa na marehemu billionea Mrema na baadae kuuzwa kutokana na madeni iliyokuwa nayo, hatimae vitu vyake vimepigwa mnada na vitakapoisha itavunjwa na kujengwa hoteli nyingine mpya ya kisasa zaidi.
View: https://youtu.be/qykVXXWk12s?si=DmdxwUUYYI0CZGun
View: https://youtu.be/qykVXXWk12s?si=DmdxwUUYYI0CZGun